Kinachowatesa watu wengi waliookoka ni kushikilia habari za zamani. Katika watu mia (100) utakaongea nao kwa habari ya wokovu wao, labda ni mmoja atatokea kukueleza habari zake zijazo. Waliobaki tisini na tisa (99) watakueleza habari za yaliyowakuta. Je mtu anayetembea na habari za nyuma atafika anakokwenda? : Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments