KUSANYIKO KUU LA TISA PRECIOUS CENTER KIBAHA SIKU YA NNE:
SOMO: NEEMA YA MUNGU:
Neema ya Mungu imebebwa na Roho ya Shauri, katika Roho saba za Mungu zilizo beba Neema ni Roho mbili,
• Roho ya Shauri.
• Roho ya kumcha Bwana,
Kwa nini Roho ya Shauri? Mtu akiwa na Roho ya Shauri ndipo ana anza kuwa na Ibada na Mungu wake, kwa sababu Roho ya Shauri ndiye anakusaidia kupambanua kwenye akili yako.

Ukiwa na Roho wa Shauri ina maana kuwa utakuwa na Ibada ya Shukrani kwa Mungu wako, bila Roho ya Shauri hutaweza kuwa na Ibada na Mungu. Roho wa Shauri atakusaidia wewe namna ya kumshukuru Mungu.
MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA:

Comments