Posts
Showing posts from 2014
SOMO: KAZI ZA YESU.
- Get link
- Other Apps
Yohana 5:17-18 "Akawajibu, Baba yangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi. Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu. Basi Yesu akajibu, akawaambia, Amin, amin, nawaambia," Hoja kubwa ya wayahudi kumkarikia Yesu ni juu ya SABATO, na hadi leo hii kuna ubishani mkubwa juu ya siku ya sabato. Sabato maana yake ni puumziko, siyo siku, uwe na siku ya kupumzika uiheshimu. Mungu alifanya kazi siku sita ya saba akapumzika hapa haoneshi siku bali alifanya kazi siku sita Mungu akaona kazi ni njema, akapumzika. wewe unapumzika vipi kama hujamaliza kazi? wanadamu wengi leo wanapumzika bila kumaliza kazi Mwanzo 2:1-2 "Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. " Mungu alipoona amekamilisha kazi alifurahia akapumzik
SHUHUDA IBADA ZA LEO
- Get link
- Other Apps
Mch Merania Irengo wa Eneo la Amani Anamshukuru Mungu kwa kuchaguliwa kutenda kazi karibu na mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira. Pia namshukuru Mungu kwa sababu kuna siku mtu mtumishi wa Mungu alisema kila mtu ambaye watoto wao wako nchi za nje warudi nyumbani ili watumikie taifa lao, nikaingia katika maombi Mungu ni mwema mwaka jana mwanangu aliye zamia marekani alirudi nyumbani na mwingine wa kike amerudi, mmoja aliyeolewa Uganda naye karibini atakuja nyumbani na mumewe, kwa kweli namshukuru Mungu Kwenye kusanyiko la mwaka huu 2014 Mtumishi wa Mungu alisema kuna watu wanaenda kupokea zawadi, nakumbuka tarehe 14 mwezi huu wa kumi na mbili mshirika wangu mama mmoja akanipigia simu kuuliza kama nipo nyumbani nika mwambia nipo baada ya dakika 45 alikuja akanipa gari funguo kadi ya gari na kila kitu akaniambia amenipa gari ili inisaidie katika majukumu yangu ya kichungaji. Hatimaye na mimi namiliki gari kweli Mungu amenishangaza, namshukuru sana Mungu. Nataka
Kamata Neno la Madhabahuni utakuwa Heri mwana wa Mungu!
- Get link
- Other Apps
Njiambatanishe na Yesu.
- Get link
- Other Apps
Ukijiambatanisha na Yesu magonjwa yanakuwa mbali nawe, kila aina ya TABU inakaa mbali nawe. Kama uko katika Huduma furani mahali unapoabudu, jiambatanishe na madhabahu ya mahali hapo,usiangalie kushoto wala kulia, usiwe na mawenge,Tulia mahali ulipo, uwe na Adabu na sehemu unapoabudu, na kuhakikishia utamwona Mungu.
Njoo Ibadani ukutane na Jibu lako.
- Get link
- Other Apps
Tengeneza Hoja mbele Za Bwana, hakika utakutana na majibu ya Maisha yako. Roho yako iambatane na Roho ya Yesu, ndio maana tukimwita Yesu anaonekana.kwa sababu tumeunganishwa naye katika Roho. Mfano. Elisha tunaona ameunganishwa na Elijah, Alitazama juu akauliza Mungu wa Elijah yuko wapi.na alipoiweka ile jozi yake kukawa Njia. Tujiambatanishe na wapakwa mafuta wa Mungu.wale Mungu aliowaamini. akawapa nguvu kwa ajili ya utukufu wa jina lake. Mfano Mwingine 1samweli 18: Daudi na Yonadhani, Roho wa Yonathani akaambatana na ya Daudi.
Neno na Mchungaji Aimana!
- Get link
- Other Apps
Mchungaji Aimana: Tuendelee Na Tadhimini. Umetembea Na Huduma ya Efatha kwa muda gani.. Harafu umemuona Mungu Kwa Kiasi Gani. Usemezane na Moyo iabiye Nafsi yako.na hakika huhitaji kuwekewa Mkono na Mtu. Unaweza ukatembea na Huduma Furani lakini usikutane na yesu. Tupate live audio streaming www.mixlr.com/efatha
Don George Amemuona Bwana Kwa namna ya kipekee!
- Get link
- Other Apps
Don George Zaburi 20:7 Nimekuja nchini mwaka 1991 nilikutana na Mtumishi wa Mungu Mtume na nabii Elias Mwingira mwaka 2001 Nilikuwa katika misukosuko mingi sana lakini baada ya kukutana na Apostle nimefunguliwa mambo mengi na pia Mama Apostle alikuwa akinisaidia mambo Mengi. Nikaoka, Nikaoa Huku Efatha. 2012 niliombewa Mke wangu alikuwa anatakiwa kujifungua tarehe 9 November,Ilipita wiki mbili hajajifungua na Njia Ilijifunga, aliambiwa ajifungue kwa Operation lakini baada ya kumpigia APOSTLE alitamka neno hatojifungua kwa operation atajifungua salama. Siku ya operation Mtoto alitokea wodini na madokta walishangaa haijawahi kutokea katika Hospitali hiyo Mzazi kujifungulia wodini.wakamuliiza wewe ni mhindi je Umeokoka? akasema ndio nimeokoka.Mke wangu akajifungua mtoto wa kiume. Namshukuru kwa Maombi yake Apostle na Mungu wangu sana.Amen.
Jumapili Tarehe 14 December! Ni neema Ya kipekee kuwa Mbele za Bwana, Karibu mwana Mungu! Wewe Uliye mbali tupate live kwenye www.mixlr.com/efatha.
- Get link
- Other Apps
Neno La leo na Mchungaji Aimana.
- Get link
- Other Apps
NENO LA JUMAPILI NA MTUMISHI WA MUNGU AIMANA DOMINIC Mwanzo 4:7a . kama ukitenda vyema hutapata kibari? angalia ushuhuda wa huyu dada kwamba aliona hana haja ya kusema atafauru lakini alijifuta mwenyewe. mangapi yametamkwa kwenye madhabahu ya Mungu lakini kwako hayajatimia kwa sababu tunashindwa kujitakia mema? Kama yale yaliyo tamkwa kwangu na tungeyatakia mema yale tungekua mbali. Nipo hapa kukukumbusha achana na zile nyaraka ambazo zimeandikwa na wanadamu angalia nyaraka za kwenye Bibilia. Tukiamua kubadilika tukabeba nyaraka za madhabahuni tutakua na ushuhuda kabla mwaka haujaisha. Nenda katafute Yule mtu mwenye dhambi anaye jiuza anaye piga miziki disko mlete kwa Yesu wapo tayari wanatusubiri tuwaendee. Umepakwa mafuta ya Roho Mtakatifu je unayatendea mema yale mafuta? kwenye kamati haupo ivi hayo mafuta yako unayatendea mema. Sababisha mchungaji wako wa kituo afurahi angalia unaweza kufanya nini hemani mwa bwana fanya usababishe Yesu afurahi.
Unatupata live kwenye www.mixlr.com/efatha audio live streaming...!!
- Get link
- Other Apps
Neno na Mchungaji Aimana:TAFAKARI uone ni nini iyo haujafanya Kafanye vizuri.
- Get link
- Other Apps
Mwanzo 4:7 Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko inakuotea malangoni, nayo inakutamani wewe walakini yakupasa ushinde. Tutamani sana kutenda mema,Kukaa katika kumtumainia Mungu tutapata kuwa na shuhuda. Ukiamua kubadilika inawezekana kabisa, ukitamani lile linalokusumbua liondoka litaondoka tu, pale ikiamua kusima na Mungu ambaye ni msaada wetu.
Sifa kwa Bwana.wetu Mungu baba...Yote alimaliza pale msalabani.
- Get link
- Other Apps
SHUHUDA:
- Get link
- Other Apps
Dorcas Jackson Kutoka Eneo la Upendo. Ushuhuda Dorcas Jakson kutoka upendo napendA kumshukuru Mungu ilikuwa mwaka 2008 nimemaliza form four sikupata credit moja na nilikata tama katika ule mwaka nilipokuwa kwenye ibada jumapili moja mtumishi wa mungu alitangaza kwamba kuna binti anataka kufika chuo kikuu baada ya mwaka ule nilipata niliendelea na advance level na nilipata division one katika wasichana wote tulikuwa wawili tu tilofaulu. ulipofika mwaka wa pili ilikuwa na changamoto kubwa nilipokuwa najiandaa field ilikuwa mwezi wa 9 nilipata changamoto sana kwani kila Mwalimu alikuwa ananitaka nilipata bahati ya mtumishi wa mungu akasema nitakuwa wakwanza na ninaomba kwaajiri yake akasema bwana yesu ninaomba nimwongoze kwa mwanafunzi huyu na baada ya maombi hayo Mtumishi wa Mungu mimi nilikuwa nakubarika na katika watu wanaotakiwa kupeleka repoti nilikua peke yangu na kuna wanafunzi wako wengi lakini mimi niliona ni kibari kwa mungu alinitetea lakini Yule mwalimu aliendelea ku
VIJANA VIJANA.....MNAKUMBUSHWA KAMBI YA VIJANA TAREHE 18 MWEZI HUU KIJANA KARIBU SANA UKAPOKEE MBARAKA WAKO.
- Get link
- Other Apps
TUPO LIVE SASA tupate katika mtandao wetu, www.mixlr.com/efatha ubarikiwe
- Get link
- Other Apps
Ibada ya asubuhi ya kwanza inayo aanza saa moja kamili hakikisha unakuwepo jumapili ijayo.Kuna ya Pili saa NNE na ya tatu saa SABA karibu sana.
- Get link
- Other Apps
IBADA YA TAREHE 30/11/2014 NENO LA JUMAPILI NA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA MKESHA MKESHA MKESHA UTAKUWEPO SEHEMU YA KUKATA MANENO. YOHANA 5:1 – 18 1. Imani ya Kuona na 2. Imani kuto kuona Jinsi Yesu alivyo kuwa anafanya maajabu yake YOHANA 5:1-8 Imani lazima ikupeleke mahali lazima ikufikishe kwenye hitma ya kile unacho kitarajia. Yerusalemu hapo kunakitendea kazi, bilika liko pale Yerusalemu lilikuwa na matawi 5 na ndani ya hayo matawi kulikuwepo na jamii kubwa ya wagonjwa na hao wagonjwa wamegawanyika katika matatizo yao, VIPOFU, VIWETE, WALIO POOZA, ni watu wenye safari ya kiimani. Imani lazima ingojewe mtu mwenye imani anasubira. Mwenye imani hatafuti muujiza anatafuta neno likolee. Ufunuo 22:17 na Roho na Bibi harusi na aseme njoo. YOHANA 7:37 BIRIKA LINA MATAWI 5 zaburi 40:1:5 atakuponya na mambo mabaya yote. 1. Kuponya wenye shinda 2. Kudhibitisha watu na imani zao angalia sana mtu asije kuchukua cha kwako. Ng’a
Jesus Only Jesus
- Get link
- Other Apps
He did not look at the answer of the paralyzed he said stand up and walk. He understood the faith in that man, the problem was who will Immerse him into the pool. And there he was he instructed him to walk. Because he was there and the man had faith if the get into the pool is healed which was the logic.Jesus took the anxiety out of the man by Instructing upon a task of taking a step of waking up and walking.this was soooo great.wow!!
Tamani nafasi ya kwanza, muweke Mungu wa kwanza.
- Get link
- Other Apps
This one now explains that he has been there for 38 years.
- Get link
- Other Apps
And we see Jesus asking him what do you want to be done to you now.SEE "this i want somebody to take me into the pool because for when i begun to go, others deep before me".And Mighty Jesus emphasis to him stand up take your beddings and walk.amazing faith that is.and he does exactly as he is told by Jesus. and he is healed.
Kuwa na Subira; always be patient...e.g.
- Get link
- Other Apps
My Help and My Deliverer 1 I waited patiently for the Lord; he inclined to me and heard my cry. 2 He drew me up from the pit of destruction, out of the miry bog, and set my feet upon a rock, making my steps secure. 3 He put a new song in my mouth, a song of praise to our God. Many will see and fear, and put their trust in the Lord. 4 Blessed is the man who makes the Lord his trust, who does not turn to the proud, to those who go astray after a lie! 5 You have multiplied, O Lord my God, your wondrous deeds and your thoughts toward us; none can compare with you! I will proclaim and tell of them, yet they are more than can be told. In the book Of John why we are seeing a bowel/pool of water. And we see people waiting for it to stir up for them to deep themselves into it. This shows how they had the sense of patience of waiting for water to stir up, and the logic is that the first to enter the pool gets healed. So God requires our attention to our areas of work as
Kuhusu Imani! Ufunuo 22:17
- Get link
- Other Apps
Mtu yeyote mwenye Imani lazima awe na subira, ukiwa huna subira utakuwa mtu wa kuanza upya kila wakati. Mwenye Imani hatafuti Muujiza, anasubiri Neno la Mungu likolee Vizuri. Revelation:22:17 The Spirit and the Bride say, "Come." And let the one who hears say, "Come." And let the one who is thirsty come; let the one who desires take the water of life without price.
Neno limeanza Na Apostle Elias Mwingira..John 5:1-18
- Get link
- Other Apps
Imani isiyo kufikisha mahali imekufa..Lazima Imani iwe na Hitma..Ikufikishe sehemu..Yesu yuko mahali Panaitwa Yerusalem.Kuna vitendea KAZI...ili kazi iambatane na kile unachokitaka.Yesu alikuwa katika sehemu yake ya Kazi..na mahali pale kulikuweko na jamii ya wahitaji/wagonjwa na walikuwa katika vikundi.k.m vipofu, viwete, waliopooza, Kwa ivo walikuwa na Imani kwamba Yesu anaweza kuwaponya.
Sifa kwa Bwana Yesu
- Get link
- Other Apps
We ni baba hakuna Mungu kama wewe, wewe ni baba Hakuna Mungu kama wewe...utukuzwe baba, muumba wa miisho yote ya Dunia, Mwanzo tena Mwisho, Jabali letu, mwamba wenye imara, Pembe ya wokovu wetu. tunakuimbia.haleluyah ,Mungu wetu Mzuri saaana. Mzuri wewe kwetu. Baba yetu hakuna kama wewe. ulituumba sisi sifa na utukufu ni kwako.AaaaaaMen!
Ibada ya kwanza inaendelea ni muda wa matoleo...futatana nasi katika www.mixlr.com/efatha ubarikiwe sana mwana Mungu
- Get link
- Other Apps
KUKAA NDANI YA YESU
- Get link
- Other Apps
Ukikaa ndani ya Yesu kunamambo makubwa yanatokea kwako, ndio maana alitoka mbinguni akaja kukaa ndani yangu. Yesu Kristo alikuwa mbegu kwaajiri yangu kwahiyo anataka mimi na wewe tumzalie matunda. Bwana anataka na mimi na wewe tuzae watu wengi tukaandaye kanisa kwaajiri ya unyakuo. Yohana 15:1-20 Yesu ananena na wanafunzi wake, anawaasa wanafunzi wake anawapa maagizo anasema mimi ndimi mzabibi na uzima, na kila tawi linalozaa ndani yake huzaa, lisiro zaa hukatwa. Kama wewe haupo ndani ya Yesu ni vigumu sana kuzaa matunda. Mwanzo 23:26 Yesu anasema hatutauwa tasa wala matubo yetu hayata haribika. Ili uzae ndani ya Yesu kuna kuzaa matunda, Yesu alikuwa mzabibu mwema na amenipanda ndani ya mzabibu mwema. U Ukiona tabia yako hajawa njema basi Yesu hayupo ndani yako, kama Yesu alikuwa mtii lazima uwe mtii kiburi kinatoka wapi?. Hakuna kitu kibaya wewe umeokoka harafu siku unaenda mbinguni Mungu anasema sikujui kitu kibaya sana. Yesu alikuja kuufanya ulimwengu umgeukie Mungu kut
Tuachane na mwili, tuache kuufurahisha mwili, mwili ni wa udongoni tu, Roho ndio ya Mbinguni, Tutamani mapenzi ya Mungu, Tufanye kazi pamoja na Kristo.Neno la Leo Kukaa Ndani ya Yesu.
- Get link
- Other Apps
FUNGU LA KUMI NI ULINZI...TOA KWA UAMINIFU NAYE ATAMKEMEA YULE ALAYE NA YULE AHARIBUYE.
- Get link
- Other Apps
Neno Linaendelea tupate mtandaoni live audio streaming...www.mixrl.com/efatha
- Get link
- Other Apps
USHUHUDA
- Get link
- Other Apps
Neema bakiri eneo la tukufu Mungu amenitendea mambo makuu sana jambo la kwanza niliokoka 2010 lakini sikuweza kusoma madarasa nilikuwa sijapata nafasi na nimesoma madarasa nimebatizwa na mafuta nimepakwa jana tarehe 15/11/2014, pia nilikuwa nahamu ya kumjua Mungu nilikuwa natamani sana lakini sikuweza kupata nafasi, ya kwenda zone lakini nilipo muomba Mungu kwamba nataka niende zone akanijibu, ninamshukuru sana kwamba ninaenda zone na mchungaji wangu na askofu wangu ananisimamia. Jambo la tatu Mtume na Nabii alitupa unabii mwingi sana tulipokuwa kusanyiko akasema watu wote watapewa zawadi mtaenda kupata kazi na mtaenda kupata nanilipokea zawadi ya kwenda Arusha, na wakati najiandaa na safari ya kurudi nilipata ajari ya Piki piki nilipata kugongana na gari nilijua labda nimeumia bega niliambiwa niende hospitali lakini nilikataa kwani ningeenda hosptali nisinge fika jana kwenye mafuta alisema nilipokuwa kwenye gari bega lilikuwa linauma sana na baadaye nilitembea na kitabu ch
NENO LA MUNGU NA MCHUNGAJI VICT TEMU KUKAA NDANI YA YESU:
- Get link
- Other Apps
Ukikaa ndani ya Yesu kuna mambo makubwa yanatokea kwako, ndio maana alitoka mbinguni akaja kukaa ndani yangu. Yesu Kristo alikuwa mbegu kwa ajiri yangu kwa hiyo anataka mimi na wewe tumzalie matunda. Bwana anataka na mimi na wewe tuzalete watu wengi tukaandaye kanisa kwa ajiri ya unyakuo. Yohana 15:1-20 Yesu ananena na wanafunzi wake, anawaasa wanafunzi wake anawapa maagizo anasema mimi ndimi mzabibi na uzima, na kila tawi linalozaa ndani yake huzaa, lisilo zaa hukatwa. Kama wewe haupo ndani ya Yesu ni vigumu sana kuzaa matunda. Mwanzo 23:26 Yesu anasema hatutauwa tasa wala matumbo yetu hayata haribika. Ili uzae ndani ya Yesu kuna kuzaa matunda, Yesu alikuwa mzabibu mwema na amenipanda ndani ya mzabibu mwema. Ukiona tabia yako haiendani na taratibu za yesu, basi Yesu hayupo ndani yako, kama Yesu alikuwa mtii lazima uwe mtii kiburi kinatoka wapi?. Hakuna kitu kibaya wewe umeokoka harafu siku unaenda mbinguni Mungu anasema sikujui ni kitu kibaya sana.
Ibada Ya Kwanza..Neno La Mungu:kukaa Ndani ya Yesu Na Mtumishi wa Mungu Vicky Temu.KUKAA NDANI YA KRISTO YESU...TUPATE LIVE www.mixlr.com/efatha
- Get link
- Other Apps
Ibada ya kwanza inaendelea, tupate live kwenye tovuti yetu,facebook..kuna kitu Nyumbani mwa Bwana.
- Get link
- Other Apps
SHUHUDA IBADA YA TATU JINA : ANNA VALENTINO Namshukuru Mungu nimekuja hapa Efatha nikaokoka nikasoma madarasa ya kukulia wokovu nilikua naumwa mwili mzima ila tumbo lilikuwa linanisumbua mpaka nikawa siwezi kubeba ndoo kubwa, pia nilikuwa siwezi kulala na tumbo lakini sasa tangu nimekuja hapa Efatha na nashukuru mwili umepona napia naweza kubeba ndoo kubwa, napia napenda kuwashukuru watu wa Tumaini walionyesha upendo wao kwangu hawakuniacha waliniombea na kunitia moyo, nawashukuru sana Mungu awabariki sana.
- Get link
- Other Apps
Ibada ya Tatu Inayoanza saa saba Kamili(1:00mp)
- Get link
- Other Apps
Efatha mass choir wakimsifu Mungu katika Ibada ya Tatu, wanaimba katika ustadi wa aina yake hakika Mungu anajitwalia utukufu
- Get link
- Other Apps