UKO TAYARI KUBADILISHA MUELEKEO WA KILE
ULICHOKISIKIA ?:
"Amua kubadilisha MTAZAMO wako wa KUSIKIA, Amua KUBADILISHA Mtazamo wako wa KUSIKIA, kwa Kusikia yale tu ambayo YATAJENGA Ubora wa Ubadae wako, badilisha Mtazamo wako wa Kusikia. Tamani KUSIKIA yale tu ambayo yatasababisha UBORA wa Maisha yako ya Baadae.
Tamani KUWASIKILIZA, KUSHIRIKIANA nao, KUFANYA nao Wale Watu ambao WAMEFANIKIWA, WAMESHINDA, WAMESITAWI katika Mazingira yale yale ambayo Wewe upo."
(Itaendelea.......)
:- Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Comments