Posts

Showing posts from 2017
Image
FATHER'S SEMINAR HELD AT PRECIOUS CENTRE KIBAHA (30TH DEC, 2017) By Apostle & Prophet Josephat E. Mwingira (Efatha Ministry) The responsibility of the husband is to fulfill the desires and expectations of the wife. For instance; she is expecting a good house, children, husband and so more. But you cannot fulfill the expectations of your wife if you don’t have your own expectations. - Always the expectations of the wife fit within those of the Husband. When the husbands lacks  expectations there will be quarrels within the marriage. Ecclesiastes 11:9-11 “Rejoice, O young man, in thy youth; and let thy heart cheer thee in the days of thy youth, and walk in the ways of thine heart, and in the sight of thine eyes: but know thou, that for all these things God will bring thee into judgment. Therefore remove sorrow from thy heart, and put away evil from thy flesh: for childhood and youth are vanity.” (kjv) CELEBRATING YOUR YOUNG HOOD Young people who are below 30 have
Image
Naibariki Jumatano yangu, Jumatano yangu HAITAKUWA YA KAWAIDA, maana BWANA Ameniahidi MEMA, na YEYE Ananiwazia MEMA, Asante MUNGU BABA, Unanipenda....... Jumatano yangu IMEBARIKIWA.
Image
No matter how wicked and evil you are today, if you decide to start THINKING about God, HE will come closer to you and HE will change you.
Image
Haijalishi wewe ni muovu kiasi gani leo, lakini ukiamua kuanza KUWAZA kuhusu Mungu, Atakuja karibu yako na atakubadilisha.
Image
SOMO: WAZA KUHUSU MUNGU. Amua KUBADILISHA Namna yako ya KUWAZA, umewaza sana kuhusu mume wako na mke wako, amua kuachana na hayo yote na uanze KUMTAFAKARI Mungu. Kama unataka Kuolewa au Kuoa anza KUWAZA kuhusu Mungu, Mungu akasema si vema mtu awe peke yake, kama unataka kupata Mume au Mke mzuri WAZA KUHUSU Mungu na hutapata Kiloriti bali utapata Mume/ Mke kutoka kwa Mungu. Unapoamua KUWAZA kuhusu Mungu wakati watu wapuuzi wakikutamkia laana Mungu anageuza kuwa BARAKA. "NAKUTAMKIA Wiki hii laana yoyote uliyotamkiwa inageuzwa kuwa BARAKA". Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira -Efatha Ministry.
Image
SOMO: WAZA KUHUSU MUNGU. Je wewe UNAWAZA Nini kuhusu Mungu? Watu wanaowaza sana kuhusu Mungu, wakati wa njaa wao Wanavuna sana, wakati vitu vimechacha WAO wana Utele. Watu wanao MTAFAKARI Mungu wakati wa kuzimia wao Wanapaa.  Badilisha namna UNAVYOFIKIRI, anza Kufikiri kuhusu Mungu, watu wengi wanafikiri sana namna ya kupata pesa, watavaaje, watasomeshaje watoto wao, lakini mimi NAWAZA kuhusu Mungu, niko tayari hata kufa kwa ajili YAKE. Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira - Efatha Ministry (Efatha Ministry).
Image
SUNDAY SERVICE AT EFATHA MINISTRY MWENGE (24th December, 2017). TOPIC: "FAITH". Romans 1:28 “And even as they did not like to retain God in their knowledge, God gave them over to a reprobate mind, to do those things which are not convenient” (KJV) If you follow your MIND, you will do the STUPID things and you will never Prosper. Whoever you see PROSPERING, recognize that he is not following his mind; he is either outside or over his mind. - You cannot start do stupidity until you DENY God within your MIND. God knows that we are weak, and HE is not concerned with your flesh but HE looks at your MIND, “WHAT ARE YOU THINKING ABOUT!” Because your flesh cannot speak or decide but your MIND can decide and speak. - When you deny God in your Mind, HE denies you as well. People suffer because they have denied God. START TODAY, TWIST YOUR MIND AND FOCUS UNTO HIM." - The way you THINK about God is how you build your FAITH. Since without faith, you cannot PLEASE God. G
Image
MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA. SOMO: IMANI. Nini maana ya IMANI? Imani ni namna UNAVYOFIKIRI, namna ulivyo na UFAHAMU wa mambo. Una UFAHAMU gani kuhusu Mungu, Unamjuaje? Hiyo ndiyo inaitwa IMANI. Namna Unavyomfahamu Mungu ndivyo unavyomsogelea na ndiyo namna YEYE naye Anavyokusogelea. Mungu atakaa pembeni mpaka aone UWEZO au TAMANIO lako la kumjua YEYE. Namna UNAVYOTAMANI kumjua YEYE na kuwa Karibu na YEYE ndivyo utaweza Kumkamata, HUTAWEZA kumkamata Mungu kama ukiwa unawaza mambo mengine. Mara zote ukiwa unaota kuwa unakimbizwa au wachawi wanakuloga ina maana kuwa Mawazo yako hayako kwa Mungu bali katika vitu vingine, maana Mungu amesema kuwa "yeye anipendaye nitasema naye katika ndoto", sasa wewe unapenda vitu vingine na ndio maana unaota hayo, na ina maana kuwa hauko na Mungu katika FAHAMU zako.
Image
MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA. SOMO: IMANI. Imani inakuja kwa KUSIKIA, huwezi Kumwabudu Mungu kama HUMJUI, ni lazima UMJUE Kwanza ili uweze Kumwabudu, watu wanafikiria ya kwamba ni lazima Umwabudu ndipo umjue hapana. Bwana Yesu akamwambia Msamaria mnamwabudu Mungu msiyemjua. Watu wengi wanamwabudu Mungu wasiyemjua japo kuwa wanakwenda Kanisani. Wengi wenu mnalikataa Neno la Mungu kwa kufuata akili zenu na elimu za Dunia hii. Warumi 10:17 “Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.” Huwezi Kumwabudu Mungu kwa mwili wako bali utaweza kumwabudu YEYE katika Roho; Unafanyikaje kuwa Roho? Unafanyika kuwa Roho kwa KULIELEWA Neno la Mungu. Utakapofika mahali pa Kulielewa Neno la Mungu ndipo utakuwa upo katika Roho, lakini kama hulijui Neno jua kuwa hauko katika Roho bali uko katika mwili, na kama uko katika mwili huwezi UKAMWABUDU Mungu kwa sababu unakuwa hauna IMANI. Kwa kulijua Neno inakusaidia kupata IMANI.
Image
SUNDAY SERVICE AT EFATHA MINISTRY MWENGE (24th December, 2017) TOPIC: “FAITH” Faith is about the way you think, and the way you understand things. How and what do you KNOW about God. The more you know about God, it’s how God comes closer to you. - The way you get closer to God, it’s how you build intimacy with Him. So the way you want to be closer to God, the way you want to know Him and be with Him, it’s how you trap Him and make Him want to come closer to you. “YOU CANNOT BE CLOSER TO GOD, IF YOU DON’T THINK ABOUT HIM.” - GOD WILL NEVER HEAR YOU & NEVER CHANGE YOU, UNTIL HE SEES YOUR DESIRE TO BE CLOSER TO HIM.  # No  matter how wicked and evil you are today, if you decide to start THINKING about God, HE will come closer to you and HE will change you. Genesis 6:5 “And God saw that the wickedness of man was great in the earth, and that every imagination of the thoughts of his heart was only evil continually.” (KJV) THINKING about God involves thinking about His Gre
Image
LET YOUR MIND THINK ABOUT GOD; Those who THINK about GOD are always Blossoming whether in famine, scarcity or in hunger.
Image
ACHA AKILI YAKO IWAZE KUHUSU MUNGU; Wanao WAZA kuhusu MUNGU, mara zote Uchanua iwe katika ukame, ukata au njaa kali.
Image
Naibariki Jumanne yangu, NITAFURAHI Na KUSHANGILIA maana Nitauona WEMA WA BWANA Machoni pangu, Nitaona MATENDO MAKUU katika Maisha yangu, maana YEYE ANAWEZA, Hakuna Linalomshinda, NITAFURAHI na KUSHANGILIA, Jumanne yangu IMEBARIKIWA, Asante MUNGU BABA kwa UPENDO WAKO MKUU Kwangu, Asante.
Image
SUNDAY SERVICE AT EFATHA MINISTRY MWENGE (24th December, 2017) © APOSTLE & PROPHET JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA TOPIC: “FAITH” Faith is a substance of the things hoped for. Faith goes with HOPE. But most of the times the people who worship God don’t have hope that’s why they don’t have Faith. The essential things in Faith; 1. Where to Worship. 2. To Whom to hear. 3. What you Hear. Jesus emphasizes that the worshipers should WORSHIP in SPIRIT. The aim as to why we gather together to Worship, is so that; we can be able to HEAR from God. So; It’s not your thoughts to gather in fellowship before God, but it’s God’s thought to gather His people so that they can be able to HEAR from Him. Faith comes by HEARING; so you cannot WORSHIP God if you don’t know God. That’s why you need to know God so that you can be able to worship Him. Romans 10:17“So then faith cometh by hearing, and hearing by the word of God.” (KJV) You cannot WORSHIP God in the physical but in SPIRIT.  # How
Image
(Inaendelea...... SOMO: IMANI) Kwa nini tunakusanyika pamoja ili Kuabudu wakati Biblia inasema kuwa tunatakiwa Kuabudu katika ROHO? Tunakusanyika ili kwamba tuweze KUSIKIA na ili kwamba Mungu aweze kumtumia mtu mmoja aweze Kutusikizisha Neno kutoka kwake. Kwenda Kanisani sio wazo letu bali ni wazo la Mungu ili tuweze kusikizishwa Neno lake. Sio kwa sababu ya matakwa yako unakwenda Kanisani, bali ni Wazo la Mungu maana kuna watu wengi wanaishia kusema ku wa siku moja nitakwenda Kanisani lakini hawaendi, kwa nini? Kwa sababu hawajaruhusiwa kwenda, lakini wewe unayekwenda Kanisani umeruhusiwa hivyo unatakiwa Umshukuru Mungu. Watu wanaweza kukucheka kwa sababu unakwenda Kanisani au Umeokoka, wewe wasamehe na uzingatie katika kile ambacho Unafundishwa, maana ni Mungu ndio amekupeleka huko.  Watu wengine waume zao wanawapa pesa za kutoa sadaka lakini hao waume zao hawaendi Kanisani, kwa nini? Kwa sababu Hawajaruhusiwa, wewe uliyepata Neema ya kwenda Kanisani mshukuru Mungu maana Mu
Image
MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA SOMO: IMANI. Mwanzo 6:5 “BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.” Mungu aliona IMANI duniani, IMANI ni hakika ya mambo yatarajiwayo lakini IMANI inaendana na TUMAINI. Siku moja Yesu alikutana na mwanamke Msamaria, aliyekuja kisimani kuchota maji, Yesu akamwambia tafadhali nipe maji ninywe, yule mwanamke akamwambia sisi na ninyi hatuna uhusiano. Bwana Yesu akamwambia yule mwanamke Msamaria ya kuwa “kama UNGENIJUA kuwa Mimi ni nani ungeniomba maji ambayo hutakaa uone kiu kamwe,” Yule mwanamke akamwambia naomba hayo maji. Bwana Yesu akamwambia mlete mume wako, yule mwanamke akamwambia sina mume, Yesu akamwambia ni kweli kwa maana hata huyu uliye naye siyo wako. Bwana Yesu alikuwa anamsaidia yule mwanamke kutambua makosa yake ambayo yanamletea masumbufu na mateso. Baada ya kutambua dhambi yake akakumbuka Mafundisho aliyofundishwa na wazazi wake. Yule mwanamk
Image
Waimbaji wa Efatha Mass Choir wakiongoza Ibada ya Sifa na Kuabudu katika Ibada ya Kwanza, kituo cha Efatha Mwenge Dar es Salaam, Tanzania. (Tarehe 24.12,2017).
Image
Waimbaji wa Efatha Chipukizi Team wakiongoza Ibada ya Sifa pamoja na Kuabudu katika Ibada ya pili, jana tarehe 24/12/2017 kituo cha Efatha Mwenge Dar es Salaam.
Image
Naibariki Jumatatu yangu, MUNGU BABA Asante, maana ni Jumatatu iliyo ya Pekee kwangu, SITAKUWA kama NILIVYOKUWA, maana HUJANIACHA, Hu Pamoja nami, Nami NITAFURAHI na KUSHANGILIA, Hakika BABA WEWE NI MZURI, Unanipenda, Nami NAKUSHUKURU, Jumatatu yangu IMEBARIKIWA, YESU Asante BWANA, Asante.
Image
Naibariki Ijumaa yangu, Ijumaa yangu IMEBARIKIWA, maana MUNGU BABA Ananijali na Ananipenda, Haleluya, YESU Asante kwa WOKOVU wako BWANA, Nakushukuru, Asante.
Image
PASTOR ANGELINA MDADILA BE INSPIRED TO MOVE WITH VICTORY Exodus 4:21 “And the LORD said unto Moses, When thou goest to return into Egypt, see that thou do all those wonders before Pharaoh, which I have pu t in thine hand: but I will harden his heart, that he shall not let the people go.” (KJV) Recognize that you are not a normal person (you are extraordinary) since you are the LORD’S FIRST BORN; when others are failing it’s so that you may explore. Don’t UNDERMINE yourself, walk BOLDLY and recognize who you are. Don’t be bothered b y any hardships that you are facing, recognize that your FUTURE is better than your present. WALK BOLDLY and be ready to PERSEVERE, since JESUS is with you; he will hold you and enable you to reach that AWESOME FUTURE. When you are able to reach the other side, you will emerge a WINNER, and once you reach the other side with VICTORY, you will enable others to become VICTORIOUS as well (such as your parents, friends, relatives and so more).
Image
SOMO: BADILISHA TABIA ZAKO: Wokovu ni kubadilika, inaumiza sana kuona mtu ameokoka na bado anaendelea na tabia za watu ambao hawajaokoka, hii inawafanya wale ambao hawajaokoka wakikuangalia wanasema kama kuokoka ndio hivyo basi. Imeandikwa kumpenda Mungu ni kuuchukia uovu. Wewe ambaye umeokoka umefanyika kuwa balozi wa Yesu hapa Duniani, watu hawamuoni Yesu bali wanakuona wewe, hivyo hakikisha tabia zako zinafanana na Yesu. Leo mwambie Yesu najichomeka kwako ili tabia zangu zifanane na Wewe, watu wakiniona waone wamekutana na Yesu. Mtumishi wa Mungu Mama Eliakunda Mwingira.
Image
SOMO: BADILISHA TABIA ZAKO: Ili uweze kuziona baraka za Mungu katika maisha yako, hakikisha tabia zako zinabadilika. Amua kuweka Neno la Mungu ndani yako, unapoliruhusu Neno la Mungu lifurike ndani yako linaondoa ile dhambi inayokutesa. Neno la Mungu ni kioo, ukiliangalia utajiona jinsi ulivyo na utabadilika. Haiwezekani Neno la Mungu likajaa ndani yako alafu ukawa mwizi, msengenyaji au mzinzi. Amua leo kuliruhusu Neno la Mungu lijae ndani yako kwa sababu Neno hilo ni maji litakusafisha na kukuondolea takataka zote. Mtumishi wa Mungu Mama Eliakunda Mwingira
Image
Naibariki Jumamosi yangu, SITAKUWA kama Nilivyokuwa tena, Mapato yangu YAMEBARIKIWA, Biashara zangu ZIMEBARIKIWA, Kazi zangu Ajira zangu ZIMEBARIKIWA, SITAKUWA kama Nilivyokuwa.
Image
SOMO: ROHO MTAKATIFU: Roho Mtakatifu anapokuja kwa mtu anamfanya huyo mtu kuwa MKAMILIFU. Ukamilifu ni nini? Ni kufanya vitu kwa usahihi bila kukosea, unapoanza biashara kama una Roho Mtakatifu hiyo biashara haitakufa bali huyu Roho ataikamilisha. Ukiwa na Roho Mtakatifu hata unapo oa au kuolewa, ndoa yako inakuwa na ukamilifu, haitakuwa na mitikisiko wala kuyumba bali inajaa ukamilifu na Upendo. Chochote kinacho milikiwa na Mungu kinaweza kuletwa kwako kupitia Roho Mtakatifu. Siku utakapojua namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu mahangaiko yako yatakoma, kwani atakufunulia mambo yaliyofichika katika ulimwengu wa Roho. Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.
Image
MTUMISHI WA MUNGU MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA : Kamwe usijinenee mabaya kwani itakuwa kama ulivyo jitamkia, unakuta mtu anakiri " siku hizi maisha ni magumu sana " unapo kiri hivyo kamwe maisha yako hayataweza kuwa Mazuri, kwa sababu umejitabiria maisha magumu mwenyewe. Usijitabirie mambo mabaya, mara nyingi akina Dada mnaweza kuwa na marafiki zenu mnaanza kusema, wanaume ni wabaya sana, alafu unataka kuolewa, hapo usitegemee kupata mume mzuri. Vijana wengine wanasema wanawake ni wasumbufu sana, ukisema hivyo usitarajie kupata mke mtulivu bali tarajia kupata kama yule uliyejitabiria mwenyewe. Unapaswa kuwa makini sana na maneno ya kinywa chako, chochote utakacho kiri kitakuwa kama ulivyo kiri.
Image
SOMO: NGUVU YA MUNGU : Yohana 14: 16" Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele. " Yohana 14: 26" Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa Jina langu, atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia ". Huyu Roho Mtakatifu aliyebeba nguvu hii anawajibu mbili. 1. Anafundisha. Hakuna anayeishi kwa ajili ya jana bali tunaishi kwa ajili ya leo, hivyo tunamhitaji ili atufundishe namna tutakavyo kutana na kesho yetu, atufundishe kuhusu sasa na kesho. Hakuna atakaye kufundisha kuhusu jana maana jana imepita. Mafundisho ni kwa ajili ya leo na kesho. 2. Huyu Msaidizi atatukumbusha. Atakukumbusha kwa nini Wewe ni maskini, kwa nini hujaoa/kuolewa na kwa nini huzai. Roho atakukumbusha kilichowahi kutokea kinacho sababisha unateseka leo. Roho Mtakatifu ambaye amebeba Nguvu, anatufundisha kuhusu kesho maana kesho yetu ni njema sana, anatukumbusha ya jana ili yaliyotokea jana
Image
U MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA : SOMO: NGUVU YA MUNGU : Wewe ni wa muhimu sana kwa Mungu, maana alimtoa Mwanawe wa pekee ili aje hapa Duniani AKUFIE. Huu ni Mwaka wa kujibiwa Maombi kama alivyosema kwetu 2017 ni Mwaka wetu wakujibiwa Maombi. Matendo ya Mitume 1:8 "Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu.... " Yesu anasema mtapokea Nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu ili tuweze kuwa MASHAHIDI na ili tuweze kuzaa matunda. Hatuta weza kuzaa matunda kama hatufuati maagizo yake. Kwa nini ni muhimu kuwa na Nguvu ya Mungu? Kwa sababu Dunia imejaa giza, hivyo hutaweza kuwa na Nguvu na Utukufu kama huna Nguvu ya Mungu. Ulinzi wa Mungu unatokana na hii Nguvu vinginevyo wachawi watakuloga, watakufanya uwe supu yao, mapepo yatakukandamiza na roho ovu zitaishi ndani yako. Bila Nguvu ya Mungu huwezi kuudhihirisha Wokovu/Ukristo wako . Yesu anasema atatupa Nguvu ili tuwe na Ushuhuda