MCHUNGAJI MARGRETH ILOMO SOMO: UTAYARI Katika maisha yako usifanye jambo ili mwanadamu akuone maana watakuchelewesha fanya jambo ili Mungu akuone. Kila mtu aliyeumbwa na Mungu anakusudi la Mungu ndani yake hivyo fanya katika kusudi la Mungu alilo kuwekea maana ndani ya utumishi wako ndiko kwenye kila kitu unacho kihitaji katika maisha yako.



Comments