KILA JAMBO NA WAKATI WAKE. Leo ni siku muhimu sana kwa ndugu zetu hawa, ambao leo wameamua kuyatoa maisha yao kwa BWANA YESU ili awe Bwana na Mwokozi wa maisha yao. NEEMA ya MUNGU iwe nanyi iwatunze asiwepo atayerudi nyuma. MTAKUWA WATU WAKUU, Wengi wataokolewa kupitia ninyi.

Comments