Karibuni sana katika ibada nzuri za Jumapili ya 21/8/2016 hapa Efatha Ministry Mwenge Dar es salaam Tanzania, ibada ya kwanza inaendelea kwa wewe uliye njiani au nyumbani tunazo ibada tatu siku ya Jumapili. RATIBA ZA IBADA JUMAPILI - Ibada ya Kwanza; saa 1:00 - 4:00 Asubuhi - Ibada ya Pili; saa 4:00 - 7:00 Mchana - Ibada ya Tatu; saa 7:00 - 10:00 Jion

Comments