Mchungaji Daudi Urio.
Somo: Nimechaguliwa:
Mimi na wewe tumechaguliwa kuitenda kazi ya MUNGU.
1Wakolosai 13:14" Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi; "

Efeso 1:4" Kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.

Comments