Mchungaji Daudi Urio:
4) Alituchagua ili tuitwe wana.
Efeso 1:5" Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake"
5)Alituchagua ili tuzae matunda na matunda yapate kukaa na kudumu.
Yoana 15:16 "Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni"

6)Alituchagua ili tupate msamaha wa dhambi.
Efeso 1:7"Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake"

Comments