Haleluya wana wa MUNGU, ni jumpili ya tarehe 26/6/2016 tunakutanika hapa Efatha Ministry Mwenge na katika vituo vyetu vilivyopo Tanzania nzima na nje ya Tanzania kumfanyia MUNGU wetu ibada. Tunawakaribisha wote, pia mnaweza kufuatilia ibada za siku ya leo kupitia www.mixlr.com/efatha-ministry

Comments