Roho ya maarifa haitakaa imtumie mtu mwoga, mvivu na anayependa kulala ovyo, inawatumia ambao wako tayari.Amua kudhubutu hii Roho itakutumia, usiendelee kukaa ulipo, usikubali kufia ulipo nenda kafie mbele kwa mbele, kufa huku unajaribu, kufa huku unadhubutu. Je ukotayari kufa wakati unadhubutu? Mungu hachukii kushindwa anachukia kukata tamaa. Ukishindwa jaribu tena na tena mpaka ushinde.

Comments