Haleluuyaah! Mungu wetu anazidi kutenda miujiza watu wanapokea uponyaji wao waliokuwa hawawezi kutembea sasa wanaanza kuinuka. Asante Mungu wetu, Asante Yesu Kristo, Asante Roho Mtakatifu kwa uaminifu wako na upendo wako kwetu. Anza kushukuru Mwana wa Mungu popote ulipo sasa kwa matendo makuu ya BWANA wetu Yesu Kristo. Amini ushapokea uponyaji wako sasa.

Comments