MATUKIO MBALIMBALI KITUONI IHUMWA (Dodoma) 17/June/2015

Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Akiweka wakfu na Kulifungua Kanisa la Kituo kipya cha Efatha Ministry Ihumwa (Dodoma) leo





 Mchungaji (Mch Bigilimana) wa Kituo Kipya cha Efatha Ministry Ihumwa, Dodoma. Baada ya Kituo kuwekwa Wakfu na Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira

 Mtume na Nabii akitoa neno la Ubaba kwa wana Efatha kituoni Ihumwa Dodom

Comments