Posts

Showing posts from May, 2015

IBADA YA MAOMBI JUMATATU 25/05/2015

Image
Proverbs 8:8-14 (Mithali 8:8-14)

EFATHA MINISTRY MIKOANI

Image
Efatha Ministry Arusha pichani Wakiwa wanatimiza lile AGIZO la Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii la kuwapokea na Kukaa pamoja nao na Kula pamoja Wale ambao Wamerudi "nyumbani" Efatha Ministry. Mchungaji Kiongozi Efatha Ministry Mkoa wa Arusha Mch. Tumpe Rabarn aliaandaa hiyo sherehe Mount Meru Hotel Arusha.

IBADA KUU TAREHE 24/05/2015 EFATHA MWENGE.

Image
Baadhi ya mamia ya wana EFATHA walioudhuria Ibada ya kwanza Efatha MInistry, Mwenge Dar es Salaam-Tanzania. Nawe ungana na wana wa MUNGU Ukusanyike pamoja na Waabuduo, Kumwabudu MUNGU wetu MKUU USHUHUDA: "BWANA wetu YESU KRISTO YU HAI" APATA SIKU ZAKE ZA HEDHI BAADA YA KUKAA MIAKA MINNE. Naitwa Magdalena, Napenda Kumshukuru MUNGU ilikuwa ni siku ya Jumamosi siku ya Uji hapa Kanisani, Mimi nilichaguliwa kwenda Kupika uji, baada ya kupika Uji na kunywa Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii akatoa Unabii akasema, Yeyote aliyekuwa na Ugonjwa unaishia Getini, na Akasema kuwa kuna mtu ambaye Hazioni siku zake yapata miaka minne sasa anakwenda kuziona, Mimi nililichukua lile neno kwani lilikuwa la kwangu. Siku ya tarehe 17 nilipofika Nyumbani Usiku nilishangaa sana Niliziona siku zangu NILIFURAHI sana, NAMTUKUZA MUNGU kwa hili. Pia nimeleta Zawadi za Shukrani kwa Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mama Eliakunda Mwingira, Mchungaj

Ibada ya maombi tarehe 19/05/2015 jioni,Efatha mwenge

Image
Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira anaruhusu watu kuwaombea wengine juu ya Hoja ambazo zina mda mrefu hazijajibiwa.

Furaha Nyumbani kwa Bwana./ Joy in the house of the Lord

Image
Tarehe 16/05/2015 ibada ya maombi ndivyo ilivyokuwa na baraka tele.

IBADANI 10/05/2015

Image

IBADANI 11/5/2015

Image
Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira Ibadani, Afundisha juu ya Hekima na Pesa.

Kwenye ibada Tarehe 4/5/2015

Image