WAMAMA AMBAO MMEBARIKIWA HII YA KWENU KUTOKA KWA MAMA YETU.

Wa mama ambao mmebarikiwa, mna maduka Kariakoo, mna Maduka Mwanza, Mna maduka sehemu mbalimbali, mnaenda Dubai, mnaenda China, mmeanza kukosa Uaminifu, hebu ACHENI, hiyo ni dhambi. Hiyo Baraka isikufanye usimuheshimu Mumeo, usimfanye Mumeo housegirl, kama ulikuwa unamuwekea Mumeo Maji endelea kumuwekea, Hela siyo Mume wako, Hiyo ni Maua, najua kuwa MUNGU aliyekupa hizo hela Anakuangalia; Kubali KUBADILIKA, Kubali KUJIREKEBISHA, Acha hiyo Dhambi.

Comments