EFATHA MATUKIO NA HABARI MIKOANI NA NJE YA NCHI: Leo tuko Mkoa wa Efatha Ministry- Zanzibar.

Pichani: Viongozi wa Mkoa Efatha Ministry- Zanzibar wakiongozwa na Mch. Kiongozi, wakiwa katika Ukaguzi wa Kupata eneo la Kupanua Kituo kimojawapo cha Mkoa huko Zanzibar.

 Pichani: Mchungaji Kiongozi wa Mkoa wa Efatha Ministry -Zanzibar, Mch. Henry akiwa katika Mojawapo ya Safari za Kiutumishi kutembelea Vituo huko Mkoani Zanzibar.

 Pichani: Watumishi (Wachungaji) wa Mkoa Efatha Ministry -Zanzibar wakiwa katika Safari ya kwenda eneo la Kituo mojawapo la Efatha Ministry huko Zanzibar (Mbuji) ambapo pia kuna Prayer Mountain ya Mkoa Efatha Ministry- Zanzibar.
 Pichani: Wana wa MUNGU wa Efatha Ministry Mkoa wa Zanzibar, wakiwa katika mojawapo za Kazi za Kiroho huko Zanzibar.


PIchani: Ibada mojawapo za Uponyaji na Ukombozi huko Zanzibar.
(Wewe uliyepo Unguja au Pemba, na ungependa kujumuika kwa pamoja na Wana Wa MUNGU wenzio huko Unguja au Pemba, au unahitaji Msaada wa Kiroho ukiwa huko Pemba au Unguja, basi unaweza kupiga simu hii: 0652338343 au tuandikie e-mail kupitia ict@efathaministry.org au efathaict@gmail.com) Ubarikiwe.

 Pichani: Mojawapo ya Mikesha ambayo huwa inafanyika huko Zanzibar.

Comments