Njoo Ibadani ukutane na Jibu lako.

Tengeneza Hoja mbele Za Bwana, hakika utakutana na majibu ya Maisha yako.
Roho yako iambatane na Roho ya Yesu, ndio maana tukimwita Yesu anaonekana.kwa sababu tumeunganishwa naye katika Roho.
Mfano.
Elisha tunaona ameunganishwa na Elijah, Alitazama juu akauliza Mungu wa Elijah yuko wapi.na alipoiweka ile jozi yake kukawa Njia.
Tujiambatanishe na wapakwa mafuta wa Mungu.wale Mungu aliowaamini. akawapa nguvu kwa ajili ya utukufu wa jina lake.
Mfano Mwingine 1samweli 18:
Daudi na Yonadhani, Roho wa Yonathani akaambatana na ya Daudi.



Comments