Neno na Mchungaji Aimana!

Mchungaji Aimana:
Tuendelee Na Tadhimini.
Umetembea Na Huduma ya Efatha kwa muda gani.. Harafu umemuona Mungu Kwa Kiasi Gani.
Usemezane na Moyo iabiye Nafsi yako.na hakika huhitaji kuwekewa Mkono na Mtu.
Unaweza ukatembea na Huduma Furani lakini usikutane na yesu.
Tupate live audio streaming www.mixlr.com/efatha

Comments