Don George Amemuona Bwana Kwa namna ya kipekee!

Don George 
Zaburi 20:7 Nimekuja nchini mwaka 1991 nilikutana na Mtumishi wa Mungu Mtume na nabii Elias Mwingira mwaka 2001
Nilikuwa katika misukosuko mingi sana lakini baada ya kukutana na Apostle nimefunguliwa mambo mengi na pia Mama Apostle alikuwa akinisaidia mambo Mengi.
Nikaoka, Nikaoa Huku Efatha.
2012 niliombewa Mke wangu alikuwa anatakiwa kujifungua tarehe 9 November,Ilipita wiki mbili hajajifungua na Njia Ilijifunga, aliambiwa ajifungue kwa Operation lakini baada ya kumpigia APOSTLE alitamka neno hatojifungua kwa operation atajifungua salama.
Siku ya operation Mtoto alitokea wodini na madokta walishangaa haijawahi kutokea katika Hospitali hiyo Mzazi kujifungulia wodini.wakamuliiza wewe ni mhindi je Umeokoka? akasema ndio nimeokoka.Mke wangu akajifungua mtoto wa kiume. Namshukuru kwa Maombi yake Apostle na Mungu wangu sana.Amen.


Comments