Kuhusu Imani! Ufunuo 22:17

Mtu yeyote mwenye Imani lazima awe na subira, ukiwa huna subira utakuwa mtu wa kuanza upya kila wakati.
Mwenye Imani hatafuti Muujiza, anasubiri Neno la Mungu likolee Vizuri.

Revelation:22:17
The Spirit and the Bride say, "Come." And let the one who hears say, "Come." And let the one who is thirsty come; let the one who desires take the water of life without price.

Comments