Posts

Showing posts from November, 2014

Ibada ya asubuhi ya kwanza inayo aanza saa moja kamili hakikisha unakuwepo jumapili ijayo.Kuna ya Pili saa NNE na ya tatu saa SABA karibu sana.

IBADA YA TAREHE 30/11/2014 NENO LA JUMAPILI NA MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA MKESHA MKESHA MKESHA UTAKUWEPO SEHEMU YA KUKATA MANENO. YOHANA 5:1 – 18  1.       Imani ya Kuona na 2.        Imani kuto kuona Jinsi Yesu alivyo kuwa anafanya maajabu yake YOHANA 5:1-8 Imani lazima ikupeleke mahali lazima ikufikishe kwenye hitma ya kile unacho kitarajia. Yerusalemu hapo kunakitendea kazi, bilika liko pale Yerusalemu lilikuwa na matawi 5 na ndani ya hayo matawi kulikuwepo na jamii kubwa ya wagonjwa na hao wagonjwa wamegawanyika katika matatizo yao, VIPOFU, VIWETE, WALIO POOZA, ni watu wenye safari ya kiimani. Imani lazima ingojewe mtu mwenye imani anasubira. Mwenye imani hatafuti muujiza anatafuta neno likolee. Ufunuo 22:17 na Roho na Bibi harusi na aseme njoo. YOHANA 7:37 BIRIKA LINA MATAWI 5 zaburi 40:1:5 atakuponya na mambo mabaya yote. 1.       Kuponya wenye shinda 2.       Kudhibitisha watu na imani zao angalia sana mtu asije kuchukua cha kwako. Ng’a

Jesus Only Jesus

He did not look at the answer of the paralyzed he said stand up and walk. He understood the faith in that man, the problem was who will Immerse him into the pool. And there he was he instructed him to walk. Because he was there and the man had faith if the get into the pool is healed which was the logic.Jesus took the anxiety out of the man by Instructing upon a task of taking a step of waking up and walking.this was soooo great.wow!!

Tamani nafasi ya kwanza, muweke Mungu wa kwanza.

Image

Being before the lord is joy:

Image
Being before the lord is joy: Efatha Members rejoices, happy before the lord...its amazing very amazing..be one of them who are entitled to the Kingdom of God

This one now explains that he has been there for 38 years.

And we see Jesus asking him what do you want to be done to you now.SEE "this i want somebody to take me into the pool because for when i begun to go, others deep before me".And Mighty Jesus emphasis to him stand up take your beddings and walk.amazing faith that is.and he does exactly as he is told by Jesus. and he is healed.

Kuwa na Subira; always be patient...e.g.

My Help and My Deliverer 1 I waited patiently for the Lord; he inclined to me and heard my cry. 2 He drew me up from the pit of destruction, out of the miry bog, and set my feet upon a rock,  making my steps secure. 3 He put a new song in my mouth, a song of praise to our God. Many will see and fear, and put their trust in the Lord. 4 Blessed is the man who makes the Lord his trust, who does not turn to the proud, to those who go astray after a lie! 5 You have multiplied, O Lord my God, your wondrous deeds and your thoughts toward us; none can compare with you! I will proclaim and tell of them, yet they are more than can be told. In the book Of John why we are seeing a bowel/pool of water. And we see people waiting for it to stir up for them to deep themselves into it. This shows how they had the sense of patience of waiting for water to stir up, and the logic is that the first to enter the pool gets healed. So God requires our attention to our areas of work as

Kuhusu Imani! Ufunuo 22:17

Mtu yeyote mwenye Imani lazima awe na subira, ukiwa huna subira utakuwa mtu wa kuanza upya kila wakati. Mwenye Imani hatafuti Muujiza, anasubiri Neno la Mungu likolee Vizuri. Revelation:22:17 The Spirit and the Bride say, "Come." And let the one who hears say, "Come." And let the one who is thirsty come; let the one who desires take the water of life without price.

Neno limeanza Na Apostle Elias Mwingira..John 5:1-18

Image
Imani isiyo kufikisha mahali imekufa..Lazima Imani iwe na Hitma..Ikufikishe sehemu..Yesu yuko mahali Panaitwa Yerusalem.Kuna vitendea KAZI...ili kazi  iambatane na kile unachokitaka.Yesu alikuwa katika sehemu yake ya Kazi..na mahali pale kulikuweko na jamii ya wahitaji/wagonjwa na walikuwa katika vikundi.k.m vipofu, viwete, waliopooza, Kwa ivo walikuwa na Imani kwamba Yesu anaweza kuwaponya.

Nguvu ya Mungu Kazini!

Yesu anapita akiwahudumia watu wake asubuhi ya leo.Watu wanafunguliwa Mutumainie Mungu upokee muujiza wako leo anaweza yeye aliyetukuka mbinguni na Duniani.

Mtume Na nabii Josephat Elias Mwingira

Sifa kwa Bwana wetu....wewe ni baba Amen...aya twenda Pamoja na wanaEfatha Mwenge Tanzania!!

Sifa kwa Bwana Yesu

We ni baba hakuna Mungu kama wewe, wewe ni baba Hakuna Mungu kama wewe...utukuzwe baba, muumba wa miisho yote ya Dunia, Mwanzo tena Mwisho, Jabali letu, mwamba wenye imara, Pembe ya wokovu wetu. tunakuimbia.haleluyah ,Mungu wetu Mzuri saaana. Mzuri wewe kwetu. Baba yetu hakuna kama wewe. ulituumba sisi sifa na utukufu ni kwako.AaaaaaMen!

Ibada ya kwanza inaendelea ni muda wa matoleo...futatana nasi katika www.mixlr.com/efatha ubarikiwe sana mwana Mungu

KUKAA NDANI YA YESU

Ukikaa ndani ya Yesu kunamambo makubwa yanatokea kwako, ndio maana alitoka mbinguni akaja kukaa ndani yangu. Yesu Kristo alikuwa mbegu kwaajiri yangu kwahiyo anataka mimi na wewe tumzalie matunda. Bwana anataka na mimi na wewe tuzae watu wengi tukaandaye kanisa kwaajiri ya unyakuo. Yohana 15:1-20 Yesu ananena na wanafunzi wake, anawaasa wanafunzi wake anawapa maagizo anasema mimi ndimi mzabibi na uzima, na kila tawi linalozaa ndani yake huzaa, lisiro zaa hukatwa. Kama wewe haupo ndani ya Yesu ni vigumu sana kuzaa matunda. Mwanzo 23:26 Yesu anasema hatutauwa tasa wala matubo yetu hayata haribika. Ili uzae ndani ya Yesu kuna kuzaa matunda, Yesu alikuwa mzabibu mwema na amenipanda ndani ya mzabibu mwema. U Ukiona tabia yako hajawa njema basi Yesu hayupo ndani yako, kama Yesu alikuwa mtii lazima uwe mtii kiburi kinatoka wapi?. Hakuna kitu kibaya wewe umeokoka harafu siku unaenda mbinguni Mungu anasema sikujui kitu kibaya sana. Yesu alikuja kuufanya ulimwengu umgeukie Mungu kut

Tuachane na mwili, tuache kuufurahisha mwili, mwili ni wa udongoni tu, Roho ndio ya Mbinguni, Tutamani mapenzi ya Mungu, Tufanye kazi pamoja na Kristo.Neno la Leo Kukaa Ndani ya Yesu.

Image

FUNGU LA KUMI NI ULINZI...TOA KWA UAMINIFU NAYE ATAMKEMEA YULE ALAYE NA YULE AHARIBUYE.

Image

Faida za kukaa ndani ya Yesu;

Unapokaa ndani yake Kristo Lile pendo la kristo linahamishiwa kwako.unakuwa na ule upendo wa Kristo. 1.Tutashika amri zake Yesu 2.Tukikaa ndani ya Yesu atatundea mema 3.Hatutasengenyana, tutasaidiana, tutakuwa na Umoja 4.Yesu atatuombea kwa Baba wetu wa Mbinguni.

Neno Linaendelea tupate mtandaoni live audio streaming...www.mixrl.com/efatha

Hakikisha unalea Kondoo wako mpaka asimame,ukileta mtu kwa Yesu Mlee Mpaka nae afike mahali Tumzalie Mungu matunda. ndio maana tuliokolewa.Amen

USHUHUDA

Image
      Neema bakiri eneo la tukufu  Mungu amenitendea mambo makuu sana jambo la kwanza niliokoka 2010 lakini sikuweza kusoma madarasa nilikuwa sijapata nafasi na nimesoma madarasa nimebatizwa na mafuta nimepakwa jana tarehe 15/11/2014, pia nilikuwa  nahamu ya kumjua Mungu nilikuwa natamani sana lakini sikuweza kupata nafasi, ya kwenda zone lakini nilipo muomba Mungu kwamba nataka niende zone akanijibu, ninamshukuru sana kwamba ninaenda zone na mchungaji wangu na askofu wangu ananisimamia. Jambo la tatu Mtume na Nabii alitupa unabii mwingi sana tulipokuwa kusanyiko akasema watu wote watapewa zawadi mtaenda kupata kazi na mtaenda kupata nanilipokea zawadi ya kwenda Arusha, na wakati najiandaa na safari ya  kurudi nilipata ajari ya Piki piki nilipata kugongana na gari nilijua labda nimeumia bega niliambiwa niende hospitali lakini nilikataa kwani ningeenda hosptali nisinge fika jana kwenye mafuta alisema nilipokuwa kwenye gari bega lilikuwa linauma sana na baadaye nilitembea na kitabu ch

NENO LA MUNGU NA MCHUNGAJI VICT TEMU KUKAA NDANI YA YESU:

Image
Ukikaa ndani ya Yesu kuna mambo makubwa yanatokea kwako, ndio maana alitoka mbinguni akaja kukaa ndani yangu. Yesu Kristo alikuwa mbegu kwa ajiri yangu kwa hiyo anataka mimi na wewe tumzalie matunda. Bwana anataka na mimi na wewe tuzalete watu wengi tukaandaye kanisa kwa ajiri ya unyakuo. Yohana 15:1-20 Yesu ananena na wanafunzi wake, anawaasa wanafunzi wake anawapa maagizo anasema mimi ndimi mzabibi na uzima, na kila tawi linalozaa ndani yake huzaa, lisilo zaa hukatwa. Kama wewe haupo ndani ya Yesu ni vigumu sana kuzaa matunda. Mwanzo 23:26 Yesu anasema hatutauwa tasa wala matumbo yetu hayata haribika. Ili uzae ndani ya Yesu kuna kuzaa matunda, Yesu alikuwa mzabibu mwema na amenipanda ndani ya mzabibu mwema. Ukiona tabia yako haiendani na taratibu za yesu, basi Yesu hayupo ndani yako, kama Yesu alikuwa mtii lazima uwe mtii kiburi kinatoka wapi?. Hakuna kitu kibaya wewe umeokoka harafu siku unaenda mbinguni Mungu anasema sikujui ni kitu kibaya sana.

Ibada Ya Kwanza..Neno La Mungu:kukaa Ndani ya Yesu Na Mtumishi wa Mungu Vicky Temu.KUKAA NDANI YA KRISTO YESU...TUPATE LIVE www.mixlr.com/efatha

Ibada ya kwanza inaendelea, tupate live kwenye tovuti yetu,facebook..kuna kitu Nyumbani mwa Bwana.

SHUHUDA IBADA YA TATU JINA : ANNA VALENTINO Namshukuru Mungu nimekuja hapa Efatha nikaokoka nikasoma madarasa ya kukulia wokovu nilikua naumwa mwili mzima ila tumbo lilikuwa linanisumbua mpaka nikawa siwezi kubeba ndoo kubwa, pia nilikuwa siwezi kulala na tumbo lakini sasa tangu nimekuja hapa Efatha na nashukuru mwili umepona napia naweza kubeba ndoo kubwa, napia napenda kuwashukuru watu wa Tumaini walionyesha upendo wao kwangu hawakuniacha waliniombea na kunitia moyo, nawashukuru sana Mungu awabariki sana.

Image

Ibada ya Tatu Inayoanza saa saba Kamili(1:00mp)

Image
Mchungaji Andrew Swai wa Eneo La Yerusalem Katika Ibada ya Tatu

Efatha mass choir wakimsifu Mungu katika Ibada ya Tatu, wanaimba katika ustadi wa aina yake hakika Mungu anajitwalia utukufu

Image