Shuhuda! Mambo Makuu ambayo Mungu ametenda!
IBADA YA
TATU YA TAREHE 08/10/2014 JIONI/USIKU
USHUHUDA KATIKA MAKUSANYIKO
1. James josephat masika Sayuni
Zone Yehova anamshukuru Mungu kwa mwaka jana katika kusanyiko la 2013 Mtume Na
Nabii J.E.MWINGIRA alisimama wakati akihubiri katika kusanyiko la mwaka 2013
gafla akatulia akatoa agizo akasema
andika mambo 5, 1. Unataka Mungu akufanyie kwa watu ambao wapo tayari
kumtumikia ilikuwa Israel na alikwenda 2. Alisema huwezi kufanya jambo kubwa
kama huna hela lakini akasema yeye anataka kulala nyumba ya gorofa mpaka sasa
amenunua kiwanja na hela ya kujenga tayari anayo 3. Akatamani sana kuhubiri
ilipofika mwezi wa 7 Musoma akahubiri akaharibu kazi za shetani na mchungaji
kaenda na watu 15 wapo katika kusanyiko 4. Akasema jambo lingine akasema mimi
ni dereva nikaomba Mungu anipe gari aina ya min bus na ninagari hiyo halina
preti namba lina wagonjwa hapa katiaka kusanyiko kwa sasa. 5. Nilikuwa nanatamani
ndugu zangu waokoke na sasa baba yangu aliyekuwa mkuu wa matambiko katika ukoo
wetu ameokoka na amekuja hapa na mashangazi wangu wawili na ndugu zangu wote
wameokoka na wapo hapa.
2. Mkesha
wa mwaka mpya 2013 nilivunjika mguu
nikaambiwa natakiwa nikatwe lakini nilipofika
Efatha kuna watakatifu nilipo pewa sara ya toba na baada ya kurudi
nyumbani nikafokewa na ndugu zangu wakanimfokea kwanini umeendana pia bado
hujapona sasa nikajitetea kwamba Yesu namjua leo na mnataka nipone leo sasa? Nikamwambia
Yesu lazima nikuone nilipotangaziwa kuwa huu ni mwaka wa Kibali nikaja katika
kusanyiko na baba mtume akaniombea na niliponywa mguu saa ileile. Pia nilikuwepo
kwenye kamati ya Madhabahu nanamshukuru nimekuwa na nimefanya kazi sana.
3. Rehema
Yusufu ametokea Tanga Korogwe Machewa nilikuja mwaka jana kuanzia mwezi wa saba
wazazi wangu wameharibu pesa kila ninapo pelekwa hospitali kipimo hakipatikani
baada ya kwenda Tanga watumishi wa Mungu wa Efatha wakaniambia kunakusanyika
mwezi wa 10 nikamsikiliza baba Mwingira
anapoongea, na wazazi wangu walikata tamaa walipomsikiliza baba. Ila nikasema
kama ulivyo mponya mwanamke mwenye kuvuja damu mwaka 12 na mimi nimeponywa.
Kuna siku nilitoa panya nikatapika sana na nilitoa panya wakati wa siku zangu
za mwanamke nikawa naenda kanisani na baada ya panya kutoka nikamuomba Mungu
ili nijulikane ya kuwa nimepona naomba
unipe mimba na nina tegemea kujifungua huku.
4. Mume
na Mke wake, ndoa ina miaka 32 ndani ya
miaka 20 ya mwanzo wa ndoa yao ilikuwa kama paraadiso baadae shetani akaona
wivu ndoa ikavurugika wakafikia mahali
walitengana na ananyumba nzuri lakini nyumba nzuri ndani bila amani, na kila mtu analaka chumba chake katika nyumba nzuri kwa nje lakini ninapo lala
usiku ninajifungia chumbani ninamwona mke wangu anakuja mara anayeyuka maisha
na uchumi ukaanza kuporoomoka nikaanza kutafuta wachungaji lakini siku moja
nyumbani pameshindikana natamani kuondoka nimwachie mke wangu nyumba,ndio
wakatokea watu wana Efatha mpaka ilifikia kipindi nikaambiwana ndugu zangu
nimeoa jini lakini sikuamini baada yakuja kumuona mchungaji akamshika mkono tu
alianza kuona matatizo yangu nikasema hapa ndipo ninapopata msaada na nikamwambia
nitakuombea na ntampenda mkeo mke wangu,
ninamshukuru Mungu wa Mchungaji Mahundi aliniambia
kwamba nitapata kumfurahia tena mekwangu ndio tupo na mumewangu nampenda
hatuachani ng’o sasa ndio basi tena. Namshukuru Mungu sana wa Efatha.
5. ndoa
yangu ilikuwa inavunjika baada ya kukaa kipindi kilefu bila kupata motto
ilifikia kipindi ndugu wa mume na hata
kumfundisha mume atoke nje ya nyumba lakini niliamua kurudi nyumbani tanga
lakini Mume wangu alinifata na baada yandugu waliniambia nimempatia libwata
lakini ni Mungu wa Efatha lakini ninatakiwa nipate mtoto baba alisema kuna
wanawake 200 wanaenda kubeba ujauzito na mke na mume wanatabia ya kuibiana
alipofika nyumbani alifundisha mume Baba kasema mume wangu tusiibiane tukubaiane
anamshukuru Mungu siku ile ile alipata mtoto Namshukuru Mungu.
6. Neema
nilikuja hapa 2012 nimekaa ndani ya ndoa bila kupata mtoto alikuja siku ya
alhamisi baba akasema wanaotaka watoto waje alikuwa mumewe lakini alitoka na
muujiza wa mtoto.
7. Magreth
Mzeto nimetoka Mwanza ninamshukuru Mungu mwaka 2006 mtumishi wa Mungu Josephat
Eliasi Mwingira kunasiku alisema mkasome biblia mkaombe, nilipo ludi nyumbani
nikasema naomba mume wangu unipe 500 kutokana na maisha magumu alimsema lakini
alitoa ile miatano kwa masikitiko lakini aliipokea akasema unatoaje miatano
akasema naomba nikatoke sadaka baada ya sadaka akasema baba muombe sasa kupitia
ile mia 500 Mungu alifungua milango nilikua na maisha magumu sana na nilipata
neema ya kwenda Israel ninamshukuru Mungu kwani saivi tuna nyumba na magari.
8. Bibi
Maputu hajameza vidonge anatumia Yesu wa Mtume na Nabii sikutatu haja lala jana jumanne uvimbe
umepona alikuwa na uvimbe kwenye paja la
mguu nimepona kabisa.
Comments
Post a Comment