Ni siku nyingine tena TAKATIFU kwa BWANA MUNGU wetu MKUU, Wana wa MUNGU tumekusanyika tena Hemani mwa BWANA MUNGU wetu MKUU tayari kupokea ambacho MUNGU BABA yetu ametuandalia kupokea leo, Tunamwambia Asante BABA na Tunamfurahia. Mbarikiwe Wana wa MUNGU.,-------------------------------------------------------------------------------------------- Moja kwa Moja "LIVE- SIKU YA SABA" toka EFATHA Kibaha Precious Centre-Tanzania pia LIVE STREAMING kupitia Simu yako ya Mkononi na Mtandao (Internet) .... Ungana nasi LIVE STREAMING :www.mixlr.com/efatha

Comments