Zawadi ya watoto.

Haleluya...Tumepata Zawadi ya Watoto wawili kwa Siku ya leo hii Jumamosi, siku yetu ya Mwisho ya Mwezi wa Maombi na Kufunga, Watoto hawa wote wamezaliwa Madhabahuni hapa Kanisani Efatha Ministry Mwenge, Dar es Salaam, Tanzania. Tunamshukuru MUNGU wetu MKUU, YEYE BABA YETU ANATUPENDA SANA kwa YESU KRISTO BWANA.






Comments