Wana wa MUNGU katika Kituo Kipya cha Efatha Ministry Mkwajuni-Chunya, wakiwa katika Furaha na Amani tele baada ya kumalizika Ibada ya leo Jumapili, kituoni hapo.

Hakika tutafika Duniani kote, kufanya Kazi na Kutangaza Habari Njema za BWANA... wetu YESU KRISTO na kuliandaa Kanisa tayari kwa Unyakuo.

EFATHA "Funguka''; UPONYAJI na UKOMBOZI, Haleluya Tutaifanya Kazi ya BWANA wetu YESU KRISTO kila mahali, Tunampenda YESU wetu, Tunampenda MUNGU wetu na BABA yetu, tuko tayari.
  


Comments