Posts

Showing posts from June, 2014

Naibariki Jumatatu Yangu!

Image

Uzao wa kishezi hauna adabu, hauna heshima. Ukimpa madaraka uzao wa kishenzi jambo la kwanza kwake litakuwa ni kuangalia hapo Officini achukue nini. Uzao wa kishenzi mfano akiwa dereva, akienda garage ataongea na kijana wa garage na kumwambia chukua matairi haya mazima, chukua spare hizi nzima nenda kauze na funga mbovu, Huyu ni wa uzao wa kishenzi.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumamosi Yangu!

Image

Before you make any decisions in your daily activities, pray for Wisdom from GOD and it will guide you in your endeavor. This is the work of WISDOM, “to give you Light about your future”. It is better you lose the good things you see now, than have a bad future. Wisdom leads you away from REGRETS, Wisdom will LEAD you away from problems; it might be a tiny thing, but it has led to offending your colleague to an extent of them getting rid of you in their hearts. Wisdom will always lead you away from stupid deeds. When you are in need of the Power of GOD, you need Wisdom; even in your battles with the devil, you need trend in Wisdom. The Bible says that the devil is more cunning that any Christian; if you do not trend WISELY, he will defeat you. The Bible says, “HE trains my hands to fight”, many of you do things that later hurt you, Wisdom will lead you away from traps. Buildings take a long time, but demolition takes a very short time.: Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Ijumaa Yangu!

Image

SOMO: KUSIKIA NA KUONA (Linaendelea tulipoishia) IBADA: Jumapili 22/June/2014 Mikutano ya YESU mingi ilifanyika juu ya Milima na kando ya Bahari. Akawaambia mambo mengi kwa mifano, Mathayo 13:3-8 “Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda. Hata alipokuwa akipanda, mbegu nyingine zilianguka karibu na njia, ndege wakaja wakazila; nyingine zikaanguka penye miamba, pasipokuwa na udongo mwingi; mara zikaota, kwa udongo kukosa kina; na jua lilipozuka ziliungua na kwa kuwa hazikuwa na mizizi zikanyauka, Nyingine zikaanguka penye miiba, ile miiba ikazisonga, nyingine zikaanguka penye udongo mzuri, zikazaa, moja mia, moja sitini, moja thelathini”. Sasa hizi karibu na njia ndege wakazila, hapa hasara, Ya pili zikaanguka kwenye miamba hizi sio hasara tu ziliota, lakini kutokana na udongo kukosa kina na kuwa hazina mizizi zikanyauka, Mbegu ya tatu zikaanguka kwenye miiba, ile miiba ikamea na kuzisonga, kundi la nne zikaanguka kwenye udongo mzuri zikazaa moja mia, moja sitini na moja thelathini, mwenye sikio na asikie. Katika mahubiri ya YESU ambaye ni MHUBIRI MKUU, ni mahali hapa ndipo ameweka mkazo katika KUSIKIA na KUONA, maeneo mengine amekazia IMANI. Kuna Waliojaliwa na Wasiojaliwa, kwa hiyo Kusikia na Kuona kunahitaji KIBALI cha MUNGU, hii pia inanipa Mimi msukumo ya kusema uwe na KIBALI, haiwezekani Mlokole mwenye Kibali cha MUNGU amekaa Miaka mitano bado amechoka, haiwezekani kwa kuwa MUNGU Ninayemtumikia ni MUNGU wa Neema, AINUAYE, ANAYEHUISHA, “Inakuwaje miaka hiyo yote haupigi hatua?” Hapana lazima kuna tatizo, ndipo Mhubiri Kiongozi YESU amewajalia ninyi kuzijua SIRI.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Image

Naibariki Alhamisi Yangu!

Image

EFATHA MINISTRY - Kenya: Mchungaji Kiongozi wa Efatha Ministry Kenya Mch. Betson Kikoti pichani akiongoza Ibada leo jioni (tarehe 24/6/2014) katika Kanisa la Mjini Nairobi City Centre (Efatha Ministry Nairobi City Centre)... Je na wewe Uliweza kuhudhuria Ibada ya Zone? BWANA Awe nanyi wana wa MUNGU wana Efatha Kenya, na MUNGU wetu MKUU, MUNGU wa Efatha akawalinde na kuwa pamoja nanyi. (10 photos)

Image

Naibariki Jumatano Yangu!

Image

IMANI

Image
Imani chanzo chake ni kusikia, kusikia nini? Kusikia HABARI NJEMA. Sasa si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, narudia, YESU alisema Neno la ajabu sana, alisema, “Mtawatambua kwa matendo yao”. Si kila Muhubiri amebeba Habari Njema, Si kila ... Muhubiri ana Habari njema, TAFADHALI uliweke hilo. Paulo kwa kusisitiza hilo anasema, “Wengine wanahubiri wakilenga kuongeza maumivu katika Utumishi wangu lakini hata hivyo Injili inahubiriwa”. Kwa hiyo watakuwepo wahubiri ambao kazi yao si kujenga Imani.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

A person wasting time is one without wisdom, for wisdom helps you to utilize your time. Time always reduces, and this either makes you attain wealth or poverty.: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Toa kwanza habari mbaya kichwani pako, ndipo HABARI NJEMA zinaweza kupata nafasi, Toa kwanza Habari mbaya ulizonazo ndipo Habari Njema zinaweza kupata nafasi.: Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumanne Yangu!

Image

IBADA: Jumapili 22/June/2014

Image
SOMO: KUSIKIA NA KUONA Mithali 22:12 [sikio lisikialo na jicho lionalo…] Anaposema “Sikio lisikialo na jicho lionalo” maana yake lipo sikio lisilosikia na jicho lisiloona, anasema BWANA ndiye aliyeyafanya yote mawili yaani sikio na jicho, ukiona na kusikia maana yake una KIBALI cha MUNGU, ndiyo maana katika kitabu changu nimeandika “Mtembeo wa Mungu kwa hao aliowalidhia”, katika maisha ya mwanadamu ukipungukiwa haya mambo mawili ya msingi ni hatari sana, ni heri mwanadamu asiongee na akaona lakini haiwezekani asikie na aone halafu asiongee, ukiona mtu hawezi kuongea tatizo lipo katika sikio na macho, ukiona anashindwa kutembea, tatizo lipo katika macho. Siri ya Uumbaji ipo katika KUONA na KUSIKIA, ili kitu kitokee lazima USIKIE, ndio maana katika Uumbaji wake MUNGU, ALITAMKA na vikatokea, Alipomaliza kuumba akavileta kwa Adamu ili avipe majina sawasawa na Adamu alivyoona na kuviita majina ndiyo ilivyo hata leo, hapa MUNGU alitaka kuona kuwa huyu mtu kama AMEONA n

Naibariki Jumatatu Yangu!

Image

The Spirit of Wisdom makes you have important speeches and actions. When you speak wisely, the LORD will come in between and aid you, but if speak stupidly, the LORD will judges your words; be watchful on the words you utter. You can never give a good speech if you do not have wisdom. GOD will answer your prayers in accordance to how you speak; Eph 5:15-16.. (15 Wherefore I also, after I heard of your faith in the Lord Jesus, and love unto all the saints, 16 Cease not to give thanks for you, making mention of you in my prayers;), Prov 16:1 (1 the preparations of the heart in man, and the answer of the tongue, is from the LORD). HE will check to see whether you prayed wisely. : Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY. L

Tell GOD that, “Help me achieve all that YOU have prepared for me". Be determined to get rid of all bad thoughts: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Alhamisi Yangu!

Image

The thing that is oppressing you is sin. There are various types of sin; they include evil thoughts, evil speech and evil actions. What do you utter or what are your daily actions? Do this math; in one day, have your thoughts agreed with the promises of GOD? And if not in acceptance with the word of GOD, then that is a sin. Gen 6: (the thoughts of man are always evil).You might have not physically assaulted someone or killed someone, but in your heart, you have killed and thought badly. : Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira,EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumatano Yangu!

Image

Hearing and seeing gives you repentance. GOD is not interested with how many sins you have committed but, do you understand whether you have DONE WRONG? Let us not have so much verbosity, that, “I am not learned”; the problem is not your lack of education but the fact that, “Do you know what you are supposed to do?”: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumanne Yangu!

Image

SOMO LA JUMAPILI Jana (15/6/2014):

Image
MAAMUZI yanayoleta Mabadiliko na Uponyaji; hapa tunahitaji kumsikiliza ROHO wa Shauri: Mtumishi wa MUNGU Mama Eliakunda Josephat Elias Mwingira. Inawezekana mambo yanaokuzunguka yamekufanya ufike mahali pa kukata tamaa, umeenda huku na huko kutafuta msaada lakini hujafanikiwa, na wengine wamekung’ong’a, lakini leo YESU anakualika umpe mzigo wako ili AKUPUMZISHE, inawezekana umemuomba mtu akuombee lakini mtu huyo naye hana majibu, anakuombea kwa MUNGU lakini shida yako jinsi anavyoijua si kama unavyoijua wewe mwenyewe, usitumie njia ndefu nenda mwenyewe kwa MUNGU jieleze, maana anasema katika Neno lake “Njooni ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nitawapumzisha”. Ukimuendea WEWE mwenyewe, Mtumishi wake atapewa AGIZO la Kukusaidia. Kile kilio chako mbele za MUNGU kwa Uaminifu, utaona Mtumishi anataka kufunga ibada atasema kuna mtu hapa ana shida hii na hii, ni kwa sababu ya kilio chako kwa MUNGU wako, kilio chako mbele za MUNGU kinasababisha MUNGU anainua

Usimuendee MUNGU kwa maombi yenye mashaka, Usimuendee MUNGU ukiwa na Mashaka. Changamoto unazozipitia zisikuondoe kwenye kusudi la KIUNGU, changamoto unazozipitia zisikuondoe kwenye Imani yako. : Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumatatu Yangu!

Image

The fear of the LORD gives you plenty, for HE has said that “whosoever has the fear of the LORD shall lack nothing”. Once you proclaim that you fear the LORD, you have announced that the LORD is your shepherd. Here He knows where to take you so that you may get satisfaction and a good tenure. : Apostle and Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Usimuendee MUNGU kwa maombi yenye mashaka, Usimuendee MUNGU ukiwa na Mashaka. Changamoto unazozipitia zisikuondoe kwenye kusudi la KIUNGU, changamoto unazozipitia zisikuondoe kwenye Imani yako. : Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumamosi Yangu!

Image

Mithali 8:17-21 "Nawapenda wale wanipendao, na wale wanitafutao kwa bidii wataniona. Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia. Matunda yangu hupita dhahabu, naam, dhahabu safi, na faida yangu hupita fedha iliyo teule. Natembea katika njia ya haki, katikati ya mapito ya hukumu. Niwarithishe mali wale wanipendao, tena nipate kuzijaza hazina zao." Proverbs 8: 17-21 "I love them that love me; and those that seek me early shall find me. Riches and honour are with me; yea, durable riches and righteousness. My fruit is better than gold, yea, than fine gold; and my revenue than choice silver. I lead in the way of righteousness, in the midst of the paths of judgment: That I may cause those that love me to inherit substance; and I will fill their treasures."

ROHO ya Maarifa inakupa uwezo wa kubuni, kuumba na kupambanua roho, kwa sababu MUNGU wetu ni Mumbaji. Kazi ya ROHO wa Maarifa ni kukuwezesha ili ufikie mahali pa kukusudia neno, nalo lithibitike kwako, Anakusaidia wewe uweze kuwaza jambo ambalo litakuwa la faida kwako, Anakusukumia WAZO, MAONO, MAFUNUO, yote yanafunuliwa na huyu ROHO wa Maarifa, kazi yake kufunua mambo ya siri yaliyofichika, ROHO wa Maarifa anapatikana kwa wachache mpaka uweze kumsikiliza ROHO wa Shauri. ROHO wa Maarifa anaweza kukuongoza mpaka ukafika mahali pa kujua mambo makubwa. Ukitamka neno litathibitika hivyo ndiyo maana zinatangulia ROHO hizi zingine kufanya kazi na wewe, kisha hizi za hatari zinakuwa za mwisho (ROHO wa Shauri, Uweza, Maarifa, Kumcha BWANA) : Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Ijumaa Yangu!

Image

PRAYERS FOR THE 3 MAJOR PARTS - Your prayers must have answers. - Your prayers must be victorious. (These prayers must make you a victor forever and you can also pray for victory in another area Psalm 65:2-4.) - Prayers that make you have the ability to receive. A prayer is the communication between you and heaven, Hebrews 4:16 (Therefore let us approach the throne of grace with boldness, so that we may receive mercy and find grace to help us at the proper time.) Prayers must give you answers, victory and ability to receive. You get courage when you forgive others. When you continue to pray, your foes are taken away from you and good people are brought close to you. When an intercessor prays, his/ her evils are removed by way of prayer. When you welcome them they become close to you. James 4:12. When you pray, things move. In prayers GOD has given us something to recognize HIM. Matthew 6:9. Through this prayer GOD shows us: -We have a FATHER in heaven Who when we talk to, our prayers are answered. -PRAISE HIS NAME: Train yourself day by day, to praise HIM for it is by this you get a chance to get close to HIM Psalm 16:11 -ABOUT A KING: You have to recognize HIS kingdom as the greatest among other kingdoms. It is by this your prayers shall have answers. -ABOUT HIS LOVE: When you worship you have to understand what GOD wants with you. 1John 5:14-15 :Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.

Naibariki Jumatano Yangu!

Image

Naibariki Jumanne Yangu!

Image

IBADA YA JUMAPILI 8/6/2014

Image
Haleluya,... Pichani; Ibada ya Efatha Ministry Mwenge, Dar es Salaam, Tanzania   Kwaya za Mass Choir pamoja na Chipukizi, zikimwinua BWANA MUNGU wetu MKUU   Pichani: Ukombozi na Uponyaji Ibadani leo
Image
Wana wa MUNGU katika Kituo Kipya cha Efatha Ministry Mkwajuni-Chunya, wakiwa katika Furaha na Amani tele baada ya kumalizika Ibada ya leo Jumapili, kituoni hapo. Hakika tutafika Duniani kote, kufanya Kazi na Kutangaza Habari Njema za BWANA ... wetu YESU KRISTO na kuliandaa Kanisa tayari kwa Unyakuo. EFATHA "Funguka''; UPONYAJI na UKOMBOZI, Haleluya Tutaifanya Kazi ya BWANA wetu YESU KRISTO kila mahali, Tunampenda YESU wetu, Tunampenda MUNGU wetu na BABA yetu, tuko tayari.    

Amka wewe na ndugu zako mkamwabudu na kumsifu mungu kwa vyote mlivyo navyo, yeye ni pendo. Anatafuta wale wampendao ili awaridhishe utajiri wake.Jumapili Jema.

"Wanangu, YESU Anawapenda.... Dear My Son & Daughters, JESUS Loves you."

Image

Naibariki Jumamosi Yangu!

Image

SITAKUWA nilivyokuwa, Sitakuwa nilivyokuwa ROHO WA BWANA Amenibadilisha, SITAKUWA nilivyokuwa, Sitakuwa nilivyokuwa.... I will never be the same again I will never because the SPIRIT OF THE LORD transformed me....!

Naibariki Ijumaa Yangu!

Image

Naibariki Alhamisi Yangu!

Image

KAMBI KAMBI KAMBI: Kambi ya Vijana, USIKOSE Wewe Kijana MWANA wa MUNGU.

Image

Naibariki Jumatano Yangu!

Image

Naibariki Jumanne Yangu!

Image

Zawadi ya watoto.

Image
Haleluya...Tumepata Zawadi ya Watoto wawili kwa Siku ya leo hii Jumamosi, siku yetu ya Mwisho ya Mwezi wa Maombi na Kufunga, Watoto hawa wote wamezaliwa Madhabahuni hapa Kanisani Efatha Ministry Mwenge, Dar es Salaam, Tanzania. Tunamshukuru MUNGU wetu MKUU, YEYE BABA YETU ANATUPENDA SANA kwa YESU KRISTO BWANA.
Image
Wana wa MUNGU wakishukuru Madhabahuni kwa KIBALI, na wengine wakishuka chini kwa ajili ya kuomba KIBALI. Wana wa MUNGU wakiwa mbele za BWANA MUNGU wetu MKUU

aleluya, kwa kweli tunamshukuru MUNGU wetu MKUU BABA yetu katika YESU KRISTO BWANA wetu na katika Uwepo wa ROHO MTAKATIFU kwa Neema, Rehema,Baraka na UPENDO MKUU aliotupatia katika Mwezi wetu wa Kufunga na Kuomba, Mwezi wa Tano (May/2014) uliopita, kweli tuliona MAMBO MAKUU, Tuliona KIBALI, Oooh MUNGU Anatupenda WANAWE, Nasi tutazidi KUMPENDA na KUMPENDA na KUMPENDA na tutampinga na kumkataa shetani ibilisi mlaaniwa. Sasa Wana wa MUNGU kazi ni mbele kwa mbele " KUMPINGA shetani na KUMKATAA, kwani tunayo NGUVU na MAMLAKA ya Kukanyaga nyoka na ng'e na kushinda nguvu zote za yule adui; na wala hakuna kitu cho chote kitakachoweza kutudhuru" Usicheze naye, usicheke naye, atakuabisha, atakurudisha nyuma, atakupotezea muda, atakufanya uchelewe kupokea Matazimio yako; Kuwa na HASIRA YA MUNGU, kuwa na WIVU WA MUNGU, Usirudi Nyuma tena Mwana wa MUNGU. Na wewe ambaye bado hujampokea YESU, njoo sasa achana na Maisha ya Mateso, ya kuburudhwa na shetani, anakufanya Uteseke, uhangaike, usiwe na Amani na Furaha katika maisha yako, matatizo mateso hayaondoki kwako, magonjwa, misiba... AMUA SASA, Umpokee YESU, Njoo kwa YESU sasa. Mbarikiwe.

SHUHUDA: Haristidesi John Kiria anatokea eneo la Tumaini, aliamua kuja na kusimama mbele ya Wana wa MUNGU kuja kutoa Shukrani kwa MUNGU wetu MKUU kwa Baraka na Neema alimzojalia kupata WOKOVU kuja Efatha. Anasema "Siku moja nilikuwa nyumbani naangalia Television channel ya Efatha -TRENET, mara nikamuona Baba Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii anahubiri, kwa kweli nilipenda Mahubiri yake, yaani yalikuwa tofauti kabisa kabisa na Watumishi wengine, yalikuwa na Ujasiri na Nguvu na Imani na Upendo, NIKAMPENDA sana Baba Mtume na Nabii, nikatamani kuja Efatha kwani niliona kuna kitu cha Tofauti mahali hapa, basi sikuchukua muda mrefu nikaja Efatha ilikuwa Mwaka jana. Sasa baada ya kufika hapa nikapata Chakula kizuri cha Kiroho, mojawapo kilikuwa ni kuhusu MALIMBUKO, Ujue sisi Wachaga kule kwetu, Watoto wakizaliwa tu huwa tunawakabidhi kwenye mizimu, kuna madhabahu kule ambapo huwa unachukua Mbuzi na kumchinja, halafu ile damu unaimwaga kwenye, halafu nywele za mtoto unazifukia kwenye migomba; Lakini baada ya kupata UFAHAMU nikasema mimi Mwanangu sitamtoa kwenye mizimu, bali nitamtolea MUNGU, kwa hiyo nimekuja leo KUMTOLEA MUNGU MALIMBUKO".

Image

Naibariki Jumatatu Yangu!

Image