Ibada ya leo ilikuwa Nzuri sana Na Mtume na Nabii Josephat Erias Mwingira! Ametulisha neno kweli tumetolewa mahali,Muombe mungu azidi kumtumia mtumishi wake kwa ajili ya kazi ya Mungu anayo Ifanya, Unapoomba Mungu naye atafanya ya kwako kwa sababu ni mwaminifu Ameeen!

Comments