Haleluya, MUNGU wetu MKUU ni MZURI, MUNGU wetu Anatupenda wanawe, YESU wetu ni MZURI, ROHO MTAKATIFU wetu ni MZURI... Tunamshukuru BWANA wetu YESU KRISTO Mwana wa MUNGU Aliye HAI, Kambi ya Viongozi ilikuwa nzuri sana, Baba yetu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira alitulisha Mafundisho mazuri sana yalitoka kwa BWANA wetu YESU KRISTO, Alitupatia UBABA, Alitupatia BARAKA ZA UBABA (za UTUME),... Oooh Haleluyaaaaa. YESU ANATUPENDA, Sisi ni wa mahali pa JUU, Sisi ni WAJUU, Sisi ni WASHINDIIIII, Asante YESU.

Comments