YESU Ni MTAMU Jamani kuliko Chakula... Hawa Vijana Pichani nao walipata Neema ya UKOMBOZI, wao walikuwa na HOFU YA KUOA, Wanaogopa KABISA KUOA, Lakini jana Ibadani YESU ALIWAWEKA HURU... JE WEWE Hutaki kuwa HURU kwa hilo linalokutesa?, YESU YUPO ANAKUSUBIRI TU, ila Angalia Muda unakwenda Unyakuo unakaribia.


Comments