Haleluya,... YESU ni MZURI, MUNGU Wetu ni Mzuri, ... Tunamshukuru ROHO MTAKATIFU kwa kutuweka katika Uwepo wa Utukufu wa BWANA MUNGU Wetu leo katika Ibada, Ibada ilikuwa nzuri, BWANA Aliongea nasi vema, Tulikula na Kunywa Chakula kizuri cha Kiroho kutoka Madhabahuni kupitia Mtumishi wake Mkalimani wetu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira,... Oooh KIBALI ... ''Unataka kuwa Mtu wa KIBALI, basi kuwa Mtu MKWELI''


Comments