Kelele haiji ulizaliwa vipi, inakuja unamalizia vipi Safari yako ya kuishi. Kwamba baba yako anaitwa nani haikusaidii. Vyovyote ulivyozaliwa isikusumbue (kwamba mama yako alibakwa, alidanganywa, chipsi zilizasababisha, lifti ilisababisha, iwe stendi ya basi n.k., vyote visikusumbue), la msingi angalia jinsi gani UNAVYOSONGA MBELE. Hakuna hata mmoja atakayetaka azaliwe na nani. BABA wa Mbinguni ndiye Asili ya kuzaliwa kwetu. ASILI yako wewe ni MUNGU, ndio maana wewe ni MALI YA MUNGU.: Apostle & Prophet Josephat Elias Mwingira, EFATHA MINISTRY.


Comments