Haijalishi Umezaliwa katika Mazingira gani, maadamu Wewe UMEOKOKA, UMEMKUBALI YESU KRISTO kuwa BWANA na MWOKOZI wa Maisha yako, ..... MSIKIE Mama huyu na Mwanae: Kipindi huduma hii ya MUNGU Wetu MKUU EFATHA MINISTRY inaanza pale Sinza, huyu mama alikuwa anatembea na kandambili tena zimechoka huku akiwa hoi taabani kimaisha akiuza MCHICHA Mchicha mitaani. Mtumishi wa MUNGU Mbeba Kusudi Mkalimani wetu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira alikutana naye, naye Mama AKAMPOKEA YESU KRISTO Awe BWANA na MWOKOZI wa Maisha yake, baada ya Kuokoka akawa Anaendelea na Biashara yake ya Mchicha Mchicha, Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Akawa anamwombea, akawa anamwombea Mchicha UISHE Haraka ili awe anakuja kwenye MAOMBI, Na KWELI ilikuwa haichukui muda Mchicha mtaa wa kwanza, wa Pili UMEISHA, Hakuwa anachukua muda tena kutembea JUANI kwani Mchicha ulikuwa unamalizika mara moja kwa haraka sana. Mama huyu akawa anaendelea na Biashara yake LAKINI Sasa Akafikia wakati akawa na Vijana WANAMLIMIA na Yeye anaenda kuuza tu, Haleluyaaa...., SASA LEO HII Mwanae huyu (Pichani) AMEMALIZA ELIMU ya Chuo KIkuu''DEGREE''. Yule yule Mama Mchicha Mchicha aliyekuwa anatembea Juani, kandambili zimechoka, Maisha magumu taabani LEO SI YEYE TENA na MWANAE ANA DEGREE...Ndipo UONE Jinsi Gani MUNGU WETU ALIVYO MZURI, Uone jinsi gani YESU ALIVYO MZURIIII, Unataka Nini TENA? MWAMINI YESU, MPOKEE YESU, TULIA KWA MKALIMANI WAKO na MSIKILIZE VIZURI na ELEWA ANAKUAMBIA NINI... EFATHA ''FUNGUKA''. Ooooooh Haleluyaaaaaa Asante YESU, Asante YESU, Asante YESU, Tunakupenda BWANA, Tunakupenda YESUUU, Wewe ni MZURI YESU, Wewe ni MZURI, UNATUPENDA Wanao, Asante Nasi TUNAKUPENDA.


Comments

  1. Our God is wonderful! i love God of Efatha

    ReplyDelete
  2. we are blessed so much.lets all turn our worries unto him,he is able God, Nothing is possible without him.

    ReplyDelete

Post a Comment