Posts

Showing posts from November, 2013
Image
ROHO WA BWANA Akiwa juu yako, ''UTAABUDU katika ROHO Na KWELI.''

KUMBUKUMBU YA KUSHEHEREKEA MIAKA 20 YA NDOA YA MTUME NA NABII JOSEPHAT E. MWINGIRA

Image
  UTUKUFU kwa MUNGU Wetu MKUU,... Ni mahali pazuri Hemani mwa BWANA tunaingia kwa Furaha na Shangwe...   ''Baba na Mama Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat na Mchungaji Eliakunda Elias Mwingira wakiwa ndani Hemani mwa BWANA wakiingia...''   Watumishi wa MUNGU wakipongezana baada ya Kuvishana pete katika Kusherekea Miaka 20 ya Ndoa Takatifu leo.   Watumishi wa MUNGU toka nje ya Tanzania (Namibia na Uingereza) wakiwa Hemani mwa BWANA wakishuhudia sherehe ya Miaka ya 20 ya Ndoa ya Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii. UTUKUFU kwa MUNGU Wetu MKUU   Mtumishi wa MUNGU Mark Kariuki akihubiri katika Ibada hii,... .   Wazazi wa Mtumishi wa MUNGU na Watoto wa Mtume na Nabii wakifuatilia Ibada hemani mwa BWANA.   Pete zikiwa ndani ya Mafuta Matakatifu toka Isreal ya Mizeituni yakiyokwisha Ombewa tayari kwa ajili ya Ibada hii ya Kumbukumbu ya Miaka 20 ya Ndoa ya Watumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat na Mchungaji Eliakund

KUPAKWA MAFUTA, UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU

Image
LUKA 4: 18 - 19 ''Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa, Na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa''.

MAHUBIRI

Image
MAHUBIRI: MTUMISHI WA MUNGU Mkalimani Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira kuhusu ''MWAKA WA MASHANGILIO'' ''Na huu ndio Mwaka wako, Utashangaa Vifungo vingine vilikuwa havieleweki na Wanadamu, hata Wewe mwenyewe ulikuwa Ukielewi, LAKINI kwa vile Amesema katika Yeremia “Kwamba Macho hayajaona wala Sikio halijasikia Mambo magumu makubwa Usiyoyajua Anaenda kuyaweka Wazi”, na Sasa Utaona Uhalisia wa kuwekwa HURU. Nina Amini kwa Moyo wangu wote, kwa Moyo wangu wote Jambo hili la Wewe kuwekwa Huru, Wengine watakasirika nalo, Wengine Watashangilia nalo. Wakati Mimi nawekwa Huru na Mkandamizo wa Kiukoo, mkandamizo wa Kifamilia, mkandamizo wa Kijamii, mkandamizo wa Kabila, mkandamizo wa Kijiinsia, mkandamizo wa namna nilivyokuwa wakati Unafunguliwa, na Nikawekwa Huru ili kuwa kama Kichekesho.'' (Yataendelea kesho Mwana wa MUNGU, Usikose huu ni MWAKA WAKO WA MASHANGILIO...)

USIKU WA EFATHA INTELLECTUALS REDEMPTION NIGHT

Image
Redemption Night Efatha Intellectuals at UDSM, Mlimani Campus.   Vijana wa YESU wakihudumu kwa Kuimba katika Usiku wa Efatha Intellectuals Redemption Night, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania Mlimani Campus.   Mtumishi Suzzana Mungy akitoa Somo na Kuhubiri katika Usiku wa Efatha Intellectuals uliofanyika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Tanzania Mlimani Campus wiki iliyopita.   Wana wa MUNGU Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Efatha Intellectuals Organization wakiwa katika Usiku wa Redemption Night, Wakimuabudu na Kumsifu na Kumtukuza MUNGU wetu Aliye MKUU MMUWEZA WA YOTE.   Hawakuwa nyuma wapiga vyombo Vijana wa YESU katika Usiku wa Efatha Intellectuals Redemption Night.

MANENO YENYE HEKIMA NA UFAHAMU

(Mkalimani Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira). NGUVU YA LAANA NA JINSI YA KUONDOKA KATIKA LAANA. Laana ni halisi na siyo kitu cha kufikirika. Laana huanza kuonekana katika kitabu cha Mwanzo 3. Laana ina nguvu na nguvu yake imesababisha watu wengi kuteseka, nguvu ya laana Haionekani kwa macho lakini huonekana katika Utendaji wake au Matokeo yake. Laana ina uwezo wa kuruhusu au kuleta au kusababisha Uovu na Uharibifu Utokee. Neno LAANA ni kinyume cha neno BARAKA. Mwanzo 3:16 “Hakika nitakuzidishia uchungu wako na kuzaa kwako, kwa utungu utazaa watoto na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala”. Kutawaliwa ni sehemu ya laana! Mwanamke kutawaliwa si hiari yake bali ni sehemu ya laana yake aliyopewa na ukikataa unaishia Kuachwa au kupewa talaka. Laana ya kwanza inamshambulia mwanamke- Kwa Utungu atazaa watoto; ule uchungu hauishii pale akizaa bali hata mtoto anapoendelea kukua hata kuwa mtu mzima yule mama bado anaendelea kusikia utungu m

SWALI LA LEO

 Wakati wa Upako (Annointing) Unatembea, Nini kinaendelea?

WORDS OF WISDOM AND FULL OF KNOWLEDGE

 (Servant of GOD Apostle and Prophet J.E. Mwingira) WHY WE FACE DESTRUCTION/ PERISH The proud oppress with a lot of intrigue. No matter how much you caution them the never change. Seek to know the LORD and they will not oppress you anymore. Pride always leads to rebellion which a key habit/ character in evil doing (one glorified in Evil doing). If one has bad feelings about himself and also utters failure to himself; this will lead him to rebellion.