SIKU YA SITA L KUSANYIKO LA EFATHA 2013

Breaking News: Mtoto usiku huu amezaliwa, Haleluya... katika Kambi hii ya BWANA Kibaha Precious Centre.


Mtumishi wa MUNGU Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira akipita katikati ya Wana wa MUNGU na Kuwabariki katika Kusanyiko KUU la BWANA MUNGU Wetu 2013, Kibaha Precious Centre.

 Asante YESU kwa Kumchagua Mtumishi wako na Kumtuma kwetu aje Atuandae Kutupeleka Mbinguni, Asante BWANA kwa UPENDO wako Huu Kwetu, Asante YESU.






Haleluya,... Viwete, Wagonjwa, Waliopooza: WAMEPONA na Kutembea kwa NGUVU ya MUNGU WETU MKUU, MUNGU wa Efatha, Haleluya... Kwa JINA Lililo KUU LA YESU KRISTO BWANA.


 Haleluya,... leo ni Siku nyingine tena, Tunamshukuru MUNGU wetu na BABA Yetu Aliye MUNGU MKUU PEKEE na Mtakatifu wa Watakatifu, NGUVU, UWEZA, MAMLAKA ni Yake MILELE hata Milele.

Jana jioni tuliona Uwepo wa MUNGU Wetu MKUU kwa Jina la YESU KRISTO Bwana MUNGU Wetu Aliye Hai, Tuliona Miujiza na Nguvu za YESU KRISTO Ikitawala kupitia Mtumishi wake Mpenzi Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira, Wagonjwa walipona na kusimama na kutembea, Waliopooza walisimama na kutembea, Watu walifunguliwa na kuwekwa HURU.

Leo ndiyo siku YENYEWE ya Uponyaji na Ukombozi, Haleluya... Tunamuinua MUNGU wetu MKUU na Kumwambia Asante, kwa Kuwa ANATUPENDA Saana na Kutujali,...Haleluya.

(Pichani Mama aliyekuwa anatembelea fimbo ya usaidizi,... baada ya kupokea Nguvu ya Uponyaji ya BWANA wetu YESU KRISTO,...Ooooh Alitembea Mwenyewe bila mkono wa fimbo ya kutembelea Haleluya).





Mtoto huyu alikuwa hawezi kutembea, lakini leo AMETEMBEA,... Haleluya YESU NI MZURIII, YU HAI YESU WETU wa EFATHA.

Comments